Uchambuzi wa TLS kuhusu Mkataba wa Bandari, ipatikane nakala ya Kiswahili

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,059
TLS imefanya kazi kubwa ya kupitia kipengere kimoja kimoja cha Mkataba kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai. Taarifa hiyo imeaimisha kinagaubaga maeneo yote ya hovyo, ikaelezea madhara yanayoweza kutokea mkataba usipobadilishwa, na pia imetoa mapendekezo ya nini kifanyike.

Jambo moja kubwa na la msingi, ni kwamba imethibitika wazi kuwa watu wenye uwezo wa kuchambua mambo, watu wenye weledi, wenye upeo na akili kubwa, watu wenye uzalendo na walio wakweli wapo nje ya Serikali na nje ya Bunge.

Hoja zote ambazo watu mbalimbali walizionesha kama ni kasoro kubwa kwenye mkataba huu, zimeonekana pia ndani ya report ya uchambuzi ya hawa wataalam wasomi wa sheria.

TLS ndiyo chombo kikubwa kuliko vyote nchini mwetu kuhusiana na mambo yanayogusa sheria. Kwa sababu kinawakilisha wanataaluma wote wa masuala ya sheria. Wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, ni wanachama wa TLS. Hivyo kauli rasmi ya TLS, inafuta kauli zote za wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, zilizo tofauti na report hii.

Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.

Tunaomba TLS watoe nakala ya report hii itakayokuwa kwa lugha ya Kiswahili. Na kisha zitolewe nakala nyingi, ambazo mtu yeyote ataweza kuzinunua. Tununue nakala hizo na kuwapelekea wananchi wetu, tuzisambaze kwa wingi, hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kuzifikia. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanatambua tuna watu wa namna gani huko Bungeni, na ndani ya Serikali.

Wananchi wawasute wabunge, waeleze kwa nini waliidhinisha mkataba wa hovyo na wa kuliangamiza Taifa wa kiwango hiki.

Kwa hiki kilichotokea, hakuna imani kabisa juu ya mikataba mingine iliyosainiwa huko Uarabuni. Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?

Habari zaidi, soma:
  1. Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi
 

Attachments

  • TLS STATEMENT.pdf
    288 KB · Views: 16
Bado naushangaa uchambuzi alioutoa mwanasheria mkuu wa serikali jana kuhusu ule mkataba wa hovyo kuwahi kutokea kwenye historia ya Tanganyika yetu.

Kila nikirudia kumsoma naona nasoma uchambuzi wa mwanasiasa, sipaoni popote yeye kama mwanasheria alipoamua kuitumia taaluma yake, kutoa majibu juu ya vipengele vinavyolalamikiwa kwenye ule mkataba.

Nawashauri wasiendelee kupoteza muda, wakubali tu, ule mkataba ni wa hovyo ulioitoa sadaka Tanganyika yetu, uhuru wetu, na rasilimali zetu, ni aibu kwetu, muhimu uvunjwe utengenezwe mpya wenye kujali maslahi ya taifa letu.
 
Safi,,hili la kutoa nakala za kiswahili nalo ili ziwafikie hata wasioingia mtandaoni ni wazo zuri sana
Ili hawa wanaojiita wabunge wakifika huku mitaani kutuhadaa wawe wanapoteza muda tu,,
 
Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.
Amen, kwahio ule ni mkataba kamili na sio "Nia ya Makubaliano" kama zile figirisi za kijani pale Dodoma zinavyotudanganya
 
Safi,,hili la kutoa nakala za kiswahili nalo ili ziwafikie hata wasioingia mtandaoni ni wazo zuri sana
Ili hawa wanaojiita wabunge wakifika huku mitaani kutuhadaa wawe wanapoteza muda tu,,
Sahihi elimu, Watanzania wa Leo si wa jana.
 
TLS imefanya kazi kubwa ya kupitia kipengere kimoja kimoja cha Mkataba kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai. Taarifa hiyo imeaimisha kinagaubaga maeneo yote ya hovyo, ikaelezea madhara yanayoweza kutokea mkataba usipobadilishwa, na pia imetoa mapendekezo ya nini kifanyike.

Jambo moja kubwa na la msingi, ni kwamba imethibitika wazi kuwa watu wenye uwezo wa kuchambua mambo, watu wenye weledi, wenye upeo na akili kubwa, watu wenye uzalendo na walio wakweli wapo nje ya Serikali na nje ya Bunge.

Hoja zote ambazo watu mbalimbali walizionesha kama ni kasoro kubwa kwenye mkataba huu, zimeonekana pia ndani ya report ya uchambuzi ya hawa wataalam wasomi wa sheria.

TLS ndiyo chombo kikubwa kuliko vyote nchini mwetu kuhusiana na mambo yanayogusa sheria. Kwa sababu kinawakilisha wanataaluma wote wa masuala ya sheria. Wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, ni wanachama wa TLS. Hivyo kauli rasmi ya TLS, inafuta kauli zote za wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, zilizo tofauti na report hii.

Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.

Tunaomba TLS watoe nakala ya report hii itakayokuwa kwa lugha ya Kiswahili. Na kisha zitolewe nakala nyingi, ambazo mtu yeyote ataweza kuzinunua. Tununue nakala hizo na kuwapelekea wananchi wetu, tuzisambaze kwa wingi, hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kuzifikia. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanatambua tuna watu wa namna gani huko Bungeni, na ndani ya Serikali.

Wananchi wawasute wabunge, waeleze kwa nini waliidhinisha mkataba wa hovyo na wa kuliangamiza Taifa wa kiwango hiki.

Kwa hiki kilichotokea, hakuna imani kabisa juu ya mikataba mingine iliyosainiwa huko Uarabuni. Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?
Naunga mkono hoja
P
 
Hatuna haja ya kuwa na bunge ikiwa hawalisaidii taifa, zaidi ya kutuingiza kwenye majanga kwa sababu ya ubinafsi wao, hakuna wanachofanya zaidi kula Kodi zetu bure,inasikitisha sana kwa kweli
 
TLS imefanya kazi kubwa ya kupitia kipengere kimoja kimoja cha Mkataba kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai. Taarifa hiyo imeaimisha kinagaubaga maeneo yote ya hovyo, ikaelezea madhara yanayoweza kutokea mkataba usipobadilishwa, na pia imetoa mapendekezo ya nini kifanyike.

Jambo moja kubwa na la msingi, ni kwamba imethibitika wazi kuwa watu wenye uwezo wa kuchambua mambo, watu wenye weledi, wenye upeo na akili kubwa, watu wenye uzalendo na walio wakweli wapo nje ya Serikali na nje ya Bunge.

Hoja zote ambazo watu mbalimbali walizionesha kama ni kasoro kubwa kwenye mkataba huu, zimeonekana pia ndani ya report ya uchambuzi ya hawa wataalam wasomi wa sheria.

TLS ndiyo chombo kikubwa kuliko vyote nchini mwetu kuhusiana na mambo yanayogusa sheria. Kwa sababu kinawakilisha wanataaluma wote wa masuala ya sheria. Wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, ni wanachama wa TLS. Hivyo kauli rasmi ya TLS, inafuta kauli zote za wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, zilizo tofauti na report hii.

Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.

Tunaomba TLS watoe nakala ya report hii itakayokuwa kwa lugha ya Kiswahili. Na kisha zitolewe nakala nyingi, ambazo mtu yeyote ataweza kuzinunua. Tununue nakala hizo na kuwapelekea wananchi wetu, tuzisambaze kwa wingi, hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kuzifikia. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanatambua tuna watu wa namna gani huko Bungeni, na ndani ya Serikali.

Wananchi wawasute wabunge, waeleze kwa nini waliidhinisha mkataba wa hovyo na wa kuliangamiza Taifa wa kiwango hiki.

Kwa hiki kilichotokea, hakuna imani kabisa juu ya mikataba mingine iliyosainiwa huko Uarabuni. Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?
Kwani ule ni mkataba kamili ? Au MOU tu ?
 
TLS imefanya kazi kubwa ya kupitia kipengere kimoja kimoja cha Mkataba kati ya Tanzania na kampuni ya DP World ya Dubai. Taarifa hiyo imeaimisha kinagaubaga maeneo yote ya hovyo, ikaelezea madhara yanayoweza kutokea mkataba usipobadilishwa, na pia imetoa mapendekezo ya nini kifanyike.

Jambo moja kubwa na la msingi, ni kwamba imethibitika wazi kuwa watu wenye uwezo wa kuchambua mambo, watu wenye weledi, wenye upeo na akili kubwa, watu wenye uzalendo na walio wakweli wapo nje ya Serikali na nje ya Bunge.

Hoja zote ambazo watu mbalimbali walizionesha kama ni kasoro kubwa kwenye mkataba huu, zimeonekana pia ndani ya report ya uchambuzi ya hawa wataalam wasomi wa sheria.

TLS ndiyo chombo kikubwa kuliko vyote nchini mwetu kuhusiana na mambo yanayogusa sheria. Kwa sababu kinawakilisha wanataaluma wote wa masuala ya sheria. Wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, ni wanachama wa TLS. Hivyo kauli rasmi ya TLS, inafuta kauli zote za wanasheria wote, pamoja na mwanasheria mkuu, zilizo tofauti na report hii.

Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.

Tunaomba TLS watoe nakala ya report hii itakayokuwa kwa lugha ya Kiswahili. Na kisha zitolewe nakala nyingi, ambazo mtu yeyote ataweza kuzinunua. Tununue nakala hizo na kuwapelekea wananchi wetu, tuzisambaze kwa wingi, hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kuzifikia. Lengo ni kuhakikisha wananchi wanatambua tuna watu wa namna gani huko Bungeni, na ndani ya Serikali.

Wananchi wawasute wabunge, waeleze kwa nini waliidhinisha mkataba wa hovyo na wa kuliangamiza Taifa wa kiwango hiki.

Kwa hiki kilichotokea, hakuna imani kabisa juu ya mikataba mingine iliyosainiwa huko Uarabuni. Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?
Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Report hii inathibitisha kuwa sisi tuliopaza sauti, tena siyo wanasheria, tulikuwa sahihi. Na watetezi wote wa ule mkataba, ama wamekosa uelewa, au wamepofushwa na rushwa, au wamekosa uzalendo, au wamekula njama na DP ili kuiangamiza nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ule ni mkataba kamili ? Au MOU tu ?
Ile siyo MoU bali ni mkataba mkuu unaotoa mwongozo kwa mikataba ya mradi mmoja mmoja. Mikataba hiyo ya mradi mmoja mmoja, kwa content ya mkataba mkuu, hairuhusiwi kuwa kinyume cha mkataba mkuu.

Kwa hiyo mkataba huu, ndiyo tunatakiwa kuwa makini zaidi kuliko hiyo midogo itakayofuata.
 
Tunaambiwa ilisainiwa mikataba 30. Je, tuna uhakika gani na hiyo mingine siyo ya hovyo kama huu au hata kuwa mibaya zaidi ya huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe watanzania wema wavujishe mikataba yote iliyosainiwa huko Uarabuni ili tupime ubora au ubaya wake.

Tungekuwa na bunge, tungeliomba bunge iilazimishe Serikali kuipeleka mikataba hiyo yote TLS ikafanyiwe uchambuzi wa kitaalam.
 
jamani nisaidieni; Hivi huyu Nape amesoma kweli? kasoma wapi?
Nimemuona mara mbili anaongea kuhusu mkataba wa DPW hadi nilishika mdomo!
halafu anaongea kwa makelele na tambo utafikiri anajua anachoongea!
Waziri wa habari hajui kwanini mikataba ya IGA haiendi bungeni na kwa kwanini huu wa waarabu ulienda Bungeni!
Haelewi kuwa huu ulienda kupata Parliamentary Ratification ili uwe juu ya katiba ya JMT! Kweli waziri mzima hajui hili? Inasikitisha sana!
 
Naunga mkono hoja. Nakala ya kiswahili itolewe haraka na isambazwe bure mpaka vijijini. Nyie watu wa NGO's na vyama vya upinzani ndio uwanja wenu huu.
 
Tuombe watanzania wema wavujishe mikataba yote iliyosainiwa huko Uarabuni ili tupime ubora au ubaya wake.

Tungekuwa na bunge, tungeliomba bunge iilazimishe Serikali kuipeleka mikataba hiyo yote TLS ikafanyiwe uchambuzi wa kitaalam.
Kila lililofanyika kizani litajulikana mwangani ni suala la muda tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom