Anthony Ishika
Member
- Sep 11, 2014
- 5
- 17
Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini
-----
Tangu Mwezi Juni mwaka huu kumekuwa na mijadalambalimbali kufuatia taarifa ya Azimio la Bunge kuhusumapendekezo ya kuridhia makubaliano (IGA) kati yaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Emireti ya Dubai juu ya ushirikiano wa Kiuchumi naKijamii kwa ajili ya uendelezaji na uboreshaji wa utendajikazi wa Bandari za Tanzania. Azimio hilo liliridhiwa naBunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo Juni10, 2023.
Kufuatia mijadala hiyo, mnamo Julai 5, 2023 Kiongozi waChama cha ACT Wazalendo aliunda Kamati Maalum yaWataalam 22 iliyoongozwa na Wakili Emmanuel Mvula,Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT Wazalendo na Msemaji waKisekta wa Mipango, Uwekezaji na Hifadhi ya Jamiikufanyia kazi masuala yaliyoibuliwa na Jamii kuhusuMakubaliano hayo na kutoa mapendekezo kwa Uongozi waChama Taifa.
Kamati hii ya Wataalam iliyoundwa kwa ajili ya kukishaurichama juu jambo hili ambalo limeleta mjadala mkubwakwenye jamii iliwasilisha Taarifa yake kwa Kiongozi waChama na kujadiliwa na Kamati ya Uongozi ya ACTWazalendo. Kamati ya Uongozi ya Chama inatoa msimamohuu rasmi wa chama kwa niaba ya Kamati Kuu yaACT Wazalendo.
----
Zaidi soma kiambatanisho hapa chini