Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Mbona mlimfungulia kesi cas Kama ni chizi?Kama na akili zenu mnamtegemea Morrison chizi, nawapa pole aiseeeee.
Mbona mlimfungulia kesi cas Kama ni chizi?Kama na akili zenu mnamtegemea Morrison chizi, nawapa pole aiseeeee.
Dah saiv kila timu inajipigia tu, my simba!mnyama mkali aukibonde?
HahahahaaaTikipigwa au kutoa droo kwenye huu uwanja nitaamini kuwa Timu yangu ni mbovu msimu huu.
Ndio tumegunduwa sasa ni chizi, poleni uguwa pole na katerero ya Kagera sugar.Mbona mlimfungulia kesi cas Kama ni chizi?
Mmepigwa, huna timu, timu yako ni club ya wazee.Tikipigwa au kutoa droo kwenye huu uwanja nitaamini kuwa Timu yangu ni mbovu msimu huu.
Kwani wao wanapenda kufungwa? Mchezani yoyote ambaye anapenda career yake inamuuma sana pale timu ispofanya vizuriHawa Simba SC sasa hivi wamekuwa PAKA!!
Sidhani hata WACHEZAJI kama wanaumia sana kama SHABIKI...
Tikipigwa au kutoa droo kwenye huu uwanja nitaamini kuwa Timu yangu ni mbovu msimu huu.
Mkuu pole sana,Hali yenu inasikitisha sana
Next season anatua Msimbazi huyu.WE JAMAA NI HATARI SANA!!
Wanaomlaumu kocha ni washabiki fata upepo tuna viongozi wamejazana kutafuta sifa bora wamrudishe Kaburu kidogo anajua mbinu za ligi lakini hawa wengine walikuwa wanabebwa na hanspopeMimi nakubaliana na ww mkuu- sioni tatizo la kocha- tatizo ni viongozi- wamesajili wachezaji wenye viwango duni- na wale wa zamani- wengi wamebakiza majina tu.
Dah yote maisha tu, ni mapito tu haya hakika hayatadumu milele.
Ile ya mzamiru hata bambo asingekosa
pole sana!Kila la kheri Simba Fc