Kwa mipango ya Yanga pamoja na uwekezaji madhubuti na umoja wa wanachama.

Ile miaka mitano ambayo simba alikaa bila kikombe(2011/12 mpaka 2017/18) inaweza kujirudia tena endapo wasipofata strategies za mpira.

Siku hizi mpira ni science na sio porojo kama walivyoamua kuziwekeza.

Kwa yanga hii kuhusu kukosa ubingwa niulizwe mimi..
 
Back
Top Bottom