Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,211
Aisee mpira unahitaji roho ngumu , nimeumia mimi .pole sana!
Aisee mpira unahitaji roho ngumu , nimeumia mimi .pole sana!
Mna kamsemo kenu huwa mnasema This is Simba...sisi wa kigogo tunasema zis iz thimbaAisee mpira unahitaji roho ngumu , nimeumia mimi .
loh 🤣🤣🤣Mna kamsemo kenu huwa mnasema This is Simba...sisi wa kigogo tunasema zis iz thimba
Hakika tutarudi imara zaidiMna kamsemo kenu huwa mnasema This is Simba...sisi wa kigogo tunasema zis iz thimba
Aaah wapi! Tulieni dawa chungu lakini inaponyesha!Hakika tutarudi imara zaidi
Nguvu moja
Na wewe thimba?
Dawa chungu ila tutavuka salamaAaah wapi! Tulieni dawa chungu lakini inaponyesha!
YANGANa wewe thimba?
poleni jamani, that's soccer for you. No one reigns for ever.Dawa chungu ila tutavuka salama
Ewaaa...YANGA
Ooh kwelipoleni jamani, that's soccer for you. No one reigns for ever.
Ni kweli? Waarabu nomaHuyu Chama mbona saivi anakimbia upande upande? Waarabu walaaniwe
Haahahha, tatizo ni GSMUle mto wa kagera aliokuwa anautumia iddi amin ku dump wajinga wajinga hivi bado upo
Maana naona wachezaji wanajisahau sana inabidi ipatikane suluhu ya kutatua hili tatizo wajue watu tupo swrious maana tunaona ushauri umeshindikana
NjaaTunashinda