😀😀😀😀Tikipigwa au kutoa droo kwenye huu uwanja nitaamini kuwa Timu yangu ni mbovu msimu huu.
Pole sana ndiyo sokaInauma lakini hamna jipya. Walitufunga mwaka ule ambao ilikuwa tuchukue ubingwa bila kupoteza match.
Mkuu pole sana,Hali yenu inasikitisha sanaNgoja tuone naangalia mechi huku sina amani
Sawa makoloKwa vile wanao ongoza ni yanga hamna shida hata wngeongoza kwa pointi 50 Bado hawawezi kuchukua ubingwa ...
.Kikosi cha leo kinatia matumaini
Wewe jamaa unaongea ukiwa kuzimu au? Mbona una Tabia za kiuwaji.Kua na amani,tena kama ni mtu wa kubeti weka hela yako ya kulipa kodi ya nyumba,pesa ya bili ya maji,luku,changanya na ada ya mtoto shule.
kisha agiza Mo Cola usubiri dk 90 ziishe uvune mi Dangote yako.
Uliye mtagi amevimbiwa senene wakati huu.
mnyama mkali aukibonde?Kila la kheri mnyama mkali
🚮🚮🚮🚮 mUliye mtagi amevimbiwa senene wakati huu.
View attachment 2096637
Wachezaji wanacheza na kelele za mashabiki,kila mtu anataka ajionyeshe yeye anajua pale mbele ,no team work. Morison na Sakho ndo tegemezi lakini kila mtu hamtegenezei mwenzake nafasi ,wana dribble tu na kupiga mashuti yasiyo na machoTatzo hawa simba wanataka ufundi waki shabiki wanataka point 3 mhmu bac ufundi n mazoezini tu
Kama na akili zenu mnamtegemea Morrison chizi, nawapa pole aiseeeee.Wachezaji wanacheza na kelele za mashabiki,kila mtu anataka ajionyeshe yeye anajua pale mbele ,no team work. Morison na Sakho ndo tegemezi lakini kila mtu hamtegenezei mwenzake nafasi ,wana dribble tu na kupiga mashuti yasiyo na macho