Nishasemaga mara kibao, mpira wa counter attack bado haujapatiwa ufumbuzi pale msimbazi
Huu mpira ulikotoka ulikuwa kwenye eneo la kagera lakini shuti la mbali kuondoa mpira kwenye lango lao ndio uliokuja kusababisha goli baada ya asilimia 90 ya wachezaji wa simba kupanda juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.