Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,144
Huyu mzungu wa dili tumepigwa hapa..
alaumiwe GSMhivi benchi la ufundi wanajua hasa sababu ya kufanya SUB![]()
sidhani kama unaangalia mpira vizuri.Wee ukimtoa Muzamiru hapo ndio tunafungwa Sasa sababu mkabaji atabaki mmoja tu Kanoute hali itakuwa mbaya katikati hapo atoke either Bwalya au Morrison