Rubbish, njia ya kupiga hela na kuwapa ndugu zake miradi ya ujenzi na yeye mwenyewe (Manyanga construction company). Think wide, magufulia alikuwa sacred LooterKatika mambo ambayo hayati Mkapa alijitahidi kwenye Uongozi wake ni kufanya Teuzi kwa kuangalia taranta ya muhusika
Magufuli alipoingia tu bungeni Mkapa akamteua kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi chini ya mama Anna Abdallah na baadae akampandisha kuwa Waziri kamili
Kwa kifupi Utume wa John Magufuli hapa Duniani ulikuwa ni " Kujenga Miundombinu"
Hata sasa tunaenjoy Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
Mungu wa Mbinguni awarehemu Ben Mkapa na John Magufuli
Wazee wa Legacy tunagonga Wine tu 😂🔥