Kwanini huu uzi ulifungwa na kwanini usifunguliwe?

Kwa kutopandisha mishahara watumishi
 
Hata mfanyeje hatarudi badala ya kulialia pambana na yajayo, huyo mwenyewe alikuwa mpigaji nzuri tu mbona
Umeona eh
1679634742425.jpg
 
Alisaini sheria ya kupandisha kiwango cha marejesho HESLB kutoka 8% mpaka 15%
Aliongeza miaka ya kusubiri kupandishwa madaraja kwa wanaoajiriwa na serikali kutoka 4 mpaka 5 kwa wanaoanza, na 3 mpaka 4 kwa waliokwishapandishwa
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Roho mbaya haijengi, mkoa gani JPM hakupeleka miradi ya maendeleo?.
 
Roho mbaya haijengi, mkoa gani JPM hakupeleka miradi ya maendeleo?.
Kapeleka pia Mtwara na Lindi kwa kina Nape na Singida kwa kina tundulissu.

Hata kama hakupeleka, hawa wa Chato nao si ni Watanzania? Linganisha na Watanzania waishio Mkoa wa Wahariri, Mkoa wa Kilimanjaro wenye sensa idadi ya watu 1.8m na eneo 13,200 sqkms. Kwa Magu ni Mkoa wa Geita idadi ya sensa watu ni 3m na eneo 20.000 sqkms yaani eneo kubwa zaidi watu wengi zaidi.

Wahariri wametuambia Magu anajenga Airport 1, moja tu, lakini Kilimanjaro ziko 3 (KIA, Arusha, na Moshi Mjini). Airport ya karibu na Chato ni Bukoba 57km (Mkoa wa watu 3.2m), airport yao iliyouwa watu 16 majuzi. Ya karibu na Moshi ni KIA kilometa 16 tu, na KIA, kms 45 tu.

Tumeambiwa na Wahariri na Askofubagonza eti Magueti amejenga CRDB moja (1) ihudumie watu milioni 3, huku Kilimanjaro kuna matawi 19 na ATM 31 hujataja NMB na Barclays.

Tumeambiwa vyuo kikuu ni zero, yaani hazijatajwa, watu milioni 3. Kilimanjaro watu milioni 2 wana University 5. Hospitali INAJENGWA moja ihudumie watu milioni 3. Kilimanjaro ziko 5 ikiwamo Makumira aliyosoma PhD Askofubagonza na Chuo Kikuu cha Polisi aliyosoma Afande Sirro. Hizi zihudumu kwa watu milioni 2.

Tuelewane vizuri, TANU tulifundishwa "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwisho. Hapa tatizo si wingi wa kila kitu Kilimanjaro, ni haki yao, ni Watanzania, wanajituma, wachapa kazi, kwa lugha ya CHADEMA wanajitambua. Heri yao!

Tatizo linakuja pale Serkali ya CCM inapotaka kuwaokoa Watanzania wengine, kwa nini iwe nongwa? Kwa nini Wahariri (wa kutoka Kilimanjaro) waungane na Askofu mzima kumtukana mtu mmoja, tena Marehemu, aliyejaribu kuwainua Watanzania waliochwa nyuma?

Na hapo hujataja Lindi, Singida, Mtwara, Ruvuma, kote wako nyuma. Je, umesikia Wahariri wanawatetea hawo Watanzania, wanawatungia Kitabu? Askofubagonza anajua fika kuwa Walutheri wako wengi tu mikoa hiyo, wanastahili huduma hizo.

Sababu si roho mbaya, ni siasa. Hawa ni CHADEMA, Askofubagonza, tundulissu, fatmakarume na wote ni CHADEMA Wanajiandaa uchaguzi 2025. Waambiwe tu wazingatie data.
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Kwani Chato sio Tanzania hapafai kupata maendeleo
 
Kapeleka pia Mtwara na Lindi kwa kina Nape na Singida kwa kina tundulissu.

Hata kama hakupeleka, hawa wa Chato nao si ni Watanzania? Linganisha na Watanzania waishio Mkoa wa Wahariri, Mkoa wa Kilimanjaro wenye sensa idadi ya watu 1.8m na eneo 13,200 sqkms. Kwa Magu ni Mkoa wa Geita idadi ya sensa watu ni 3m na eneo 20.000 sqkms yaani eneo kubwa zaidi watu wengi zaidi.

Wahariri wametuambia Magu anajenga Airport 1, moja tu, lakini Kilimanjaro ziko 3 (KIA, Arusha, na Moshi Mjini). Airport ya karibu na Chato ni Bukoba 57km (Mkoa wa watu 3.2m), airport yao iliyouwa watu 16 majuzi. Ya karibu na Moshi ni KIA kilometa 16 tu, na KIA, kms 45 tu.

Tumeambiwa na Wahariri na Askofubagonza eti Magueti amejenga CRDB moja (1) ihudumie watu milioni 3, huku Kilimanjaro kuna matawi 19 na ATM 31 hujataja NMB na Barclays.

Tumeambiwa vyuo kikuu ni zero, yaani hazijatajwa, watu milioni 3. Kilimanjaro watu milioni 2 wana University 5. Hospitali INAJENGWA moja ihudumie watu milioni 3. Kilimanjaro ziko 5 ikiwamo Makumira aliyosoma PhD Askofubagonza na Chuo Kikuu cha Polisi aliyosoma Afande Sirro. Hizi zihudumu kwa watu milioni 2.

Tuelewane vizuri, TANU tulifundishwa "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwisho. Hapa tatizo si wingi wa kila kitu Kilimanjaro, ni haki yao, ni Watanzania, wanajituma, wachapa kazi, kwa lugha ya CHADEMA wanajitambua. Heri yao!

Tatizo linakuja pale Serkali ya CCM inapotaka kuwaokoa Watanzania wengine, kwa nini iwe nongwa? Kwa nini Wahariri (wa kutoka Kilimanjaro) waungane na Askofu mzima kumtukana mtu mmoja, tena Marehemu, aliyejaribu kuwainua Watanzania waliochwa nyuma?

Na hapo hujataja Lindi, Singida, Mtwara, Ruvuma, kote wako nyuma. Je, umesikia Wahariri wanawatetea hawo Watanzania, wanawatungia Kitabu? Askofubagonza anajua fika kuwa Walutheri wako wengi tu mikoa hiyo, wanastahili huduma hizo.

Sababu si roho mbaya, ni siasa. Hawa ni CHADEMA, Askofubagonza, tundulissu, fatmakarume na wote ni CHADEMA Wanajiandaa uchaguzi 2025. Waambiwe tu wazingatie data.
Ujumbe umefika kwa mtu yeyote makini na mzalendo
 
Kapeleka pia Mtwara na Lindi kwa kina Nape na Singida kwa kina tundulissu.

Hata kama hakupeleka, hawa wa Chato nao si ni Watanzania? Linganisha na Watanzania waishio Mkoa wa Wahariri, Mkoa wa Kilimanjaro wenye sensa idadi ya watu 1.8m na eneo 13,200 sqkms. Kwa Magu ni Mkoa wa Geita idadi ya sensa watu ni 3m na eneo 20.000 sqkms yaani eneo kubwa zaidi watu wengi zaidi.

Wahariri wametuambia Magu anajenga Airport 1, moja tu, lakini Kilimanjaro ziko 3 (KIA, Arusha, na Moshi Mjini). Airport ya karibu na Chato ni Bukoba 57km (Mkoa wa watu 3.2m), airport yao iliyouwa watu 16 majuzi. Ya karibu na Moshi ni KIA kilometa 16 tu, na KIA, kms 45 tu.

Tumeambiwa na Wahariri na Askofubagonza eti Magueti amejenga CRDB moja (1) ihudumie watu milioni 3, huku Kilimanjaro kuna matawi 19 na ATM 31 hujataja NMB na Barclays.

Tumeambiwa vyuo kikuu ni zero, yaani hazijatajwa, watu milioni 3. Kilimanjaro watu milioni 2 wana University 5. Hospitali INAJENGWA moja ihudumie watu milioni 3. Kilimanjaro ziko 5 ikiwamo Makumira aliyosoma PhD Askofubagonza na Chuo Kikuu cha Polisi aliyosoma Afande Sirro. Hizi zihudumu kwa watu milioni 2.

Tuelewane vizuri, TANU tulifundishwa "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwisho. Hapa tatizo si wingi wa kila kitu Kilimanjaro, ni haki yao, ni Watanzania, wanajituma, wachapa kazi, kwa lugha ya CHADEMA wanajitambua. Heri yao!

Tatizo linakuja pale Serkali ya CCM inapotaka kuwaokoa Watanzania wengine, kwa nini iwe nongwa? Kwa nini Wahariri (wa kutoka Kilimanjaro) waungane na Askofu mzima kumtukana mtu mmoja, tena Marehemu, aliyejaribu kuwainua Watanzania waliochwa nyuma?

Na hapo hujataja Lindi, Singida, Mtwara, Ruvuma, kote wako nyuma. Je, umesikia Wahariri wanawatetea hawo Watanzania, wanawatungia Kitabu? Askofubagonza anajua fika kuwa Walutheri wako wengi tu mikoa hiyo, wanastahili huduma hizo.

Sababu si roho mbaya, ni siasa. Hawa ni CHADEMA, Askofubagonza, tundulissu, fatmakarume na wote ni CHADEMA Wanajiandaa uchaguzi 2025. Waambiwe tu wazingatie data.
CHAGGA GAN Wana roho mbaya Sana ,na wivu wa kipuuzi Sana ,wanatamani mikoa mingine iwe zero ,na seeikali ikitaka kujenga miundombinu na mikoa mingine utasikia matusi yake na kubatizwa majina mabaya mabaya ,Hawa watu sijui Wana roho gani !!? SIKU CHAGA GAN akija kutokea mmoja akawa rais si itakuwa HATARI. CHAGGA GAN acheni wivu wa kijinga,mbona mikoa mingine hawana nongwa Kama hili kundi.chochote kinachofanyika ktk mkoa mkoa wowote ni kwa faida ya watanzania wote ,mfano bank 1 aliyojenga magu chato na airport 1 ,sio kwa faida ya watu wa huko tu ,chato wapo wahaya ,wagogo,wanyeramba n.k ,hata nyinyi chagga gan mpo Hadi huko. Acheni wivu wa kijinga .
 
Angalia usije ukaanzisha mjadala wa zile dini mbili kubwa.
wewe ni mjinga saana au ulitumbuliwa, huwezi ukamsema vibaya hivo magufuli. magufuli alitenda haki, tunamlilia hadi leo wewe mwenyewe unaona ametutoka mwamba mambo yameharibika kishenzi maisha ni magumu kwa watu afu wewe unaongea ushenzi gani huo
 
wewe ni mjinga saana au ulitumbuliwa, huwezi ukamsema vibaya hivo magufuli. magufuli alitenda haki, tunamlilia hadi leo wewe mwenyewe unaona ametutoka mwamba mambo yameharibika kishenzi maisha ni magumu kwa watu afu wewe unaongea ushenzi gani huo
Duh! Kwani nimeongea kipi mkuu hebu nikumbushe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom