Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,063
- 18,418
Alukuharibia wewe na Nani? Mimi naona alikuwa anatengeneza nchi.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Alukuharibia wewe na Nani? Mimi naona alikuwa anatengeneza nchi.
Taja mji au kijijini unakoishi ambako umeme ulikuwa unakatika asb na unarudi usiku daily maana huko unakoishi hauko peke yako ili tusikie wengine wa huko wanasemaje.Swala la kukatika umeme ni tangu Magu yupo, ulikuwa unakatika asubuhi unarudi usiku daily na hakuwahi kuliongelea hata siku moja
Hovyo kabisa kumbe unaongelea mtaa mmoja wa igogo!Acha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...
Mimi unagoma nimejaribu vyote hvyooNilijaribu mara ya kwanza nilikuwa na balance SHS 3800 nikataka kununua yote kumbe kuna gharama ya SHS 60 muamala ukasitishwa kujaribu 3700 ikakubali nikauweka. Niko Dar , inawezekana ni baadhi ya maeneo ndio kuna shida.
Mimi mgeniKwani raisi wa Tanzania anaitwa nani?
Sio mzima weweUnaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.
This is a business unit mismanage-rial issue not worthy for presidential attention. The issue is the hangover attitude by Tanzanians that the president solves every minute thing including a husband-wife fight. "Ulevi huu (kila kitu rais) ulioletwa na Jiwe ndiyo unaotusumbua".
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
🤣 🤣 WE unaishi wapi kwani, Dar kubwa sio kila sehemu ina mbanoUnawezaje kuishi sehemu yenye mbanano hivyo? Jumlisha joto?
Utuambiege na kirefu cha hiyo "ega" 🤔🤔😉😉Ttcl hawahusiki kwa chochote mkuu. We sema tu huna uelewa wa hii mifumo inavyofanya kazi. Mfumo wa LUKU huko linked kati ya Tanesco, ega, na MNOs. Tanesco kama mtoa huduma ya umeme, ega akiwakilisha serikali na tra ktk kukata kodi, MNOs ni mobile network operators ambao wana electronic interface na wateja kupitia simu. TTCL ni mojawapo ya hawa MNOs. Ukimlaumu TTCL ktk hili basi walaumu na voda, tigo airtel na halotel. Pia kuna third part kama wale wenye mashine za luku kama maxcom.
Jiwe alikuwa petty sana sometimes hadi kero ndo sababu wanaleta mazoea had kwa maza, wanafikiri maza ana vichwa mia!This is a business unit mismanage-rial issue not worthy for presidential attention. The issue is the hangover attitude by Tanzanians that the president solves every minute thing including a husband-wife fight. "Ulevi huu (kila kitu rais) ulioletwa na Jiwe ndiyo unaotusumbua".
Kwahiyo unakiri kuwa CCM imeshindwa kuongoza nchi kwa kutuletea viongozi wabovu??Watu wameshaanza kurudi kama zamani kwa kufanya kazi kwa mazoea na bila hata chembe ya wasiwasi, siku hizi watoa huduma kwenye taasisi za serikali wameanza kuwa na viburi, hakunawa kumuogopa tena. Tunarudi enzi za Msoga.
😂😂😂😂 Achana na Kijiti Cha Arusha mkuu kule baridi Kali Sana, TUMIA Cha Dodoma.Kwani raisi wa Tanzania anaitwa nani?
soma tena ulichoandikaDarasani sijui ulikuwa unafanya Nini. Kama haelewi kilichoandikwa hapa Basi endelea kushabikia saccos.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Unataka niongelee mtaa wako mnaotumia solar? Au niongelee Buza ambako sikai, we vipi?Hovyo kabisa kumbe unaongelea mtaa mmoja wa igogo!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5.
Natafakari,Je Jaji haya unaona ni busara yaendelezwe?