Swala la kukatika umeme ni tangu Magu yupo, ulikuwa unakatika asubuhi unarudi usiku daily na hakuwahi kuliongelea hata siku moja
Taja mji au kijijini unakoishi ambako umeme ulikuwa unakatika asb na unarudi usiku daily maana huko unakoishi hauko peke yako ili tusikie wengine wa huko wanasemaje.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Acha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...
Hovyo kabisa kumbe unaongelea mtaa mmoja wa igogo!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Nilijaribu mara ya kwanza nilikuwa na balance SHS 3800 nikataka kununua yote kumbe kuna gharama ya SHS 60 muamala ukasitishwa kujaribu 3700 ikakubali nikauweka. Niko Dar , inawezekana ni baadhi ya maeneo ndio kuna shida.
Mimi unagoma nimejaribu vyote hvyoo
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
This is a business unit mismanage-rial issue not worthy for presidential attention. The issue is the hangover attitude by Tanzanians that the president solves every minute thing including a husband-wife fight. "Ulevi huu (kila kitu rais) ulioletwa na Jiwe ndiyo unaotusumbua".
 
Chato kwenyewe ata enzi ya magufuli umeme ulikua unakatika sana tu sembuse sasa.acheni porojo zakuunga unga ambazo hazina maana.
 
Swala la kutokatika umeme lilianza toka awamu ya nne,Alipochaguliwa Prof Muhongo kuwa waziri wa nishati na madini,Mnyonge mnyongeni lakin haki yake apewe.
 
Suala la LUKU its true kama mwendazake angekuwepo ungeskia tu Kala kichwa cha Sijui Mwinuka Sijui Kalamaini wooote pumbaf zao , haiwezekani watu siku nne wanashindwa kununua umeme
 
Ttcl hawahusiki kwa chochote mkuu. We sema tu huna uelewa wa hii mifumo inavyofanya kazi. Mfumo wa LUKU huko linked kati ya Tanesco, ega, na MNOs. Tanesco kama mtoa huduma ya umeme, ega akiwakilisha serikali na tra ktk kukata kodi, MNOs ni mobile network operators ambao wana electronic interface na wateja kupitia simu. TTCL ni mojawapo ya hawa MNOs. Ukimlaumu TTCL ktk hili basi walaumu na voda, tigo airtel na halotel. Pia kuna third part kama wale wenye mashine za luku kama maxcom.
Utuambiege na kirefu cha hiyo "ega" 🤔🤔😉😉
 
This is a business unit mismanage-rial issue not worthy for presidential attention. The issue is the hangover attitude by Tanzanians that the president solves every minute thing including a husband-wife fight. "Ulevi huu (kila kitu rais) ulioletwa na Jiwe ndiyo unaotusumbua".
Jiwe alikuwa petty sana sometimes hadi kero ndo sababu wanaleta mazoea had kwa maza, wanafikiri maza ana vichwa mia!
 
Watu wameshaanza kurudi kama zamani kwa kufanya kazi kwa mazoea na bila hata chembe ya wasiwasi, siku hizi watoa huduma kwenye taasisi za serikali wameanza kuwa na viburi, hakunawa kumuogopa tena. Tunarudi enzi za Msoga.
Kwahiyo unakiri kuwa CCM imeshindwa kuongoza nchi kwa kutuletea viongozi wabovu??

Polepole si alidai mmeandaa succession hadi 2075!! Hahahhahaha
 
Mengi yameandikwa juu ya utawala wa Marehemu Rais Dr. John Pombe Magufuli. Mimi binafsi nakili kuwa ingawa wengi wamemnanga kuwa alikuwa katili na hana huruma wakitolea mfano kuhusiana na kauli zake kwa ndugu zetu wa Kagera baada ya tetemeko kama ndio mfano hai; hata hivyo nadhani kuna mambo fulani aliyatekeleza ambayo yalikuwa na faida kwa nchi hivyo warithi wake hawana budi kuyaendeleza.

Marehemu alikuwa hana msalie Mtume kwenye suala la kukusanya kodi ingawa mbinu zake zilikuwa hazina utu lakini pia alihakikisha kuwa kodi iliyokusanywa ilikuwa haitumiki hovyo hovyo na ndio maana aliagiza mambo yafuatayo ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa Serikali na Taasisi zake:

1. Alipiga marufuku safari za nchi za nje zilizokuwa zinatumia fedha nyingi bila tija na hasa safari za wabunge . Hizi Ndio safari wakina Ndugai walikuwa wanapiga mabilioni!

2. Alipiga marufuku utamaduni uliozoeleka hasa wakati wa utawala wa Kikwete wa mtu mmoja kuwa na vyeo zaidi ya kimoja. Kwa Mfano mtu mmoja anakuwa RC halafu huyo huyo anakuwa mjumbe wa NEC etc. Mtu mmoja anakuwa Mjumbe wa bodi za mashirika zaidi ya moja!

3. Alipiga marufuku seminar za wafanyakazi serikalini na mashirika ya umma kufanyika kwenye mahotel makubwa na badala yake wafanyie kwenye kumbi zilizoko kwenye maofisi yao. Hili la seminar Rais Samia aliangalie sana kwani wameishaanza kumchezea hijab kwa kusema sasa ameruhusu seminar!!!

Haya yalikuwa ni maamuzi ambayo hayana budi kuendelezwa ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa matumizi mabaya ya kodi zao!
 
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5. kuzuia wachagga wasichukue Tanzanite mererani kwa kujenga ukuta na kulinda na wajeda ila KUZIPELEKA KWA KAGWAAME.
5. kukataa katiba mpya.
6. Kumtaja Mungu mdomoni huku moyoni mwake akijua hayupo kwa matendo yake.
7. Kusifia wanawake weupe huku akijua mkewe ni mweusi.
8. Kutumia kodi za wanyonge KUPIMA MAPAPAI kama yana CORONA.
9. Watu wa kigamboni wapige mbizi kama hawataki nauli ya 200.
10. Wahaya kunyimwa fedha walizochangiwa na wanyonge wenzao pale tetemeko a ardhi lilipotokea.
 
1.KUAPA KUTOPELEKA maendeleo KILIMANJARO NA ARUSHA.
2. kutengua wachagga wote waliokuwa kwenye nyadhifa, akina Kimei, Tenga, Shayo, Mramba wa TANESCo.
3. KUIBA KURA 95%
4. Kumfokea padre na sista akiwa madhabahu ya Katoliki [st peters]
5.

Je Jaji haya unaona ni busara yaendelezwe? Rais hana authority ya kumuondoa mtendaji mkuu wa Taasisi ambayo sio wholly owned na serikali!!! Kimei aliondolewa na Bodi yake na sio mwendazake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom