Ki ukweli, JPM alikomesha mambo mengi ya ubabaidhaji. Ndugu yangu, siyo umeme tu, kwa sasa kuna mambo mengi ya ovyo yamerudi kwa speed ya Kimbunga.
Wakati wa JPM hatukuzoea kusumbuliwa na vibaka, lakini siku hizi kumekuwa na ujambazi, unyang'anyi wa kutumia silaha na uozo mwingi sana umeanza kushamiri karibu kila kona.
Tuombe Mungu atusaidie huku na sisi tukiendelea kupambana.
RIP, JPM Baba yetu. Tutakukumbuka.
Wakati wa JPM hatukuzoea kusumbuliwa na vibaka, lakini siku hizi kumekuwa na ujambazi, unyang'anyi wa kutumia silaha na uozo mwingi sana umeanza kushamiri karibu kila kona.
Tuombe Mungu atusaidie huku na sisi tukiendelea kupambana.
RIP, JPM Baba yetu. Tutakukumbuka.