Ki ukweli, JPM alikomesha mambo mengi ya ubabaidhaji. Ndugu yangu, siyo umeme tu, kwa sasa kuna mambo mengi ya ovyo yamerudi kwa speed ya Kimbunga.
Wakati wa JPM hatukuzoea kusumbuliwa na vibaka, lakini siku hizi kumekuwa na ujambazi, unyang'anyi wa kutumia silaha na uozo mwingi sana umeanza kushamiri karibu kila kona.
Tuombe Mungu atusaidie huku na sisi tukiendelea kupambana.
RIP, JPM Baba yetu. Tutakukumbuka.
 
Hii ndio point sasa, system kusumbua kwa masaa au siku mbili sio shida sana lakin kuna sehemu umeme unakatwa mwezi, miezi unawaka usiku tu na hakuna tamko lolote hii ndio inaumiza sana tena sana! Ndio maana mi naona makosa ya inconveniences kama hizi kuwe kuna adhabu kama za China tu ili viongozi wawe wanajua thamani ya waliowaweka pale na machungu ya kulipa kodi!
Exactly 👊
 
Yani sasa hivi mtu hata akinyeshewa mvua atalia kumkumbuka Magufuli.

Kama vile kipindi cha Magufuli mvua zilikuwa hazinyeshi.
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA MANUNUZI YA LUKU KWENYE OFISI ZA TANESCO ZA MIKOA NA WILAYA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa, huduma ya manunuzi ya LUKU inapatikana kwenye ofisi za TANESCO za Mikoa na Wilaya, wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi ya utatuzi wa manunuzi kupitia njia za kielektroniki.

Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa.

Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea na njia mbadala za kupata huduma.

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza

Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii

Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu

Facebook Tanesco Yetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 19, 2021.
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Unacheza na maneno lakini nia yako ni kushambulia awamu ya Mama kuwa ni dhaifu. kwa tasarifa yako umeme ulianz kusumbua kabla hata ya Mwendazake hajaenda zake! Yapo maeneo, tena Dar es Salaam, umeme haukuwa wa uhakika. kwanini unataka Mama amtumbue waziri wa umeme, lakini hukutaka Mwendazake amtumbue?
 
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)

TAARIFA YA MANUNUZI YA LUKU KWENYE OFISI ZA TANESCO ZA MIKOA NA WILAYA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa, huduma ya manunuzi ya LUKU inapatikana kwenye ofisi za TANESCO za Mikoa na Wilaya, wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi ya utatuzi wa manunuzi kupitia njia za kielektroniki.

Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa.

Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea na njia mbadala za kupata huduma.

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza

Kituo cha miito ya simu makao makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya kijamii

Twitter: www.twitter.com/tanescoyetu

Facebook Tanesco Yetu

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mei 19, 2021.
Kwa sisi tunaoishi vijijini inakuaje? Tufunge safari mpaka Wilayani Tsh. 7000 ili kununua umeme wa 3500?
 
Kama unaishi Chato sawa, lakini nje ya hapo hakuna sehemu isiyokatika umeme kpndi cha Mwendazake hakuna. Alafu kwa nyongeza, mwezi ulopita PM alienda kagua mfumo wa usomaji tiketi wa mwendokasi una zaidi ya miezi sita hufanyikazi, nakukumbusha tu ili isije kesho ukalalamika na kumtupia mama lawama juu ya mfumo huu.

Ushauri:
Ili ufanye biashara ya kunyoa vizuri lazima uwe na jenereta au mfumo wa Solar, nje ya hapo haupo siriazi na hiyo biashara
acha ujinga bana,unadhani ni faida gani unapata kukaza mishipa unaandika uongo!!!!tanzania nzima ipi ambayo chato haipo sasa!!!

mimi naishi mombasa ukonga dsm,mara ya mwisho umeme kukatika,ulikaa masaa 12 baada ya nguzo kugongwa na gari 2018,na walipita kutanganza,siku nyingine ukikatika ni haizidi nusu saa umerudi.unzungumzia jenerator,unajua generator ýa kusukuma fridge inaukubwa gani???kama mmeanza kampeni zenu za kuuza majenereta kama 2012 mseme mapema.

inawezekana hapo ulipo hujui kama tatizo limeanza toka jumatatu,sababu baba yako alinunua umeme mwingi wa laki nzima,na hauna dalili ya kwisha.
 
Ttcl hawahusiki kwa chochote mkuu. We sema tu huna uelewa wa hii mifumo inavyofanya kazi. Mfumo wa LUKU huko linked kati ya Tanesco, ega, na MNOs. Tanesco kama mtoa huduma ya umeme, ega akiwakilisha serikali na tra ktk kukata kodi, MNOs ni mobile network operators ambao wana electronic interface na wateja kupitia simu. TTCL ni mojawapo ya hawa MNOs. Ukimlaumu TTCL ktk hili basi walaumu na voda, tigo airtel na halotel. Pia kuna third part kama wale wenye mashine za luku kama maxcom.
Tatizo magufuli alilazimisha kampuni/mashirika yote za serikali kuwatumia TTCL kwenye maswala ya mawasiliano wakati TTCL wenyewe hawajiwezi. Tatizo halijaanza leo kwenye mawasiliano ila kwa kuwa haikuruhusiwa kutoa taarifa enzi zake wengi mtaona ni jambo jipya kwa kuwa tu limewagusa wengi (watumiaji hata wa hali ya chini) Watu wanaolipa kodi TRA wameshazoe hali hii mbona.
 
Haisaidii
Muombee tu apumzike kwa amani,
Alieshika usukani sasa ni mama yetu Samia Suluhu Hassan,mama la mama!
Tanzania oyeeeee
 
Unacheza na maneno lakini nia yako ni kushambulia awamu ya Mama kuwa ni dhaifu. kwa tasarifa yako umeme ulianz kusumbua kabla hata ya Mwendazake hajaenda zake! Yapo maeneo, tena Dar es Salaam, umeme haukuwa wa uhakika. kwanini unataka Mama amtumbue waziri wa umeme, lakini hukutaka Mwendazake amtumbue?
hata simu yako ikizima na kuwaka maramoja kwa siku,utaipuuzia.

ila ikizima isiwake jumla utaanza kuogopa.jtatu ilivyoanza kusumbua ulisikia kuna mtu anapiga kelele??watu walijua ni kawaida kwa vitu kama hivi kutokea kuna binaadam kule.
 
Kuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.
Tanesco wametolea taarifa tatizo lipo...wewe mwanaJF unapingana nao..sijui tukuweke kwenye kundi gani?
 
Mama ana roho nzuri, mpole, msamehevu na muelewa, kwa sifa hizi za mama watendaji wa sekta nyingi watavurunda.
mikumi mingine kwa mama.
Si juzi tu mlikuwa mkimponda kwa sababu ati haishughulikii Chadema ninyi jamaa ni vigeugeu sana
 
Hivi kwani Mama Samia si alikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakumuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO?.

Kama anaona waziri hafai atumbue aweke mwingine, atumie nguvu maana waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protokal.
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Mambo mengi ya hovyo yanarudi. Juzi niliongea na ndugu yangu wa tanga kasema Lile kundi la watoto wa ibilisi limerudi baada ya kutokomezwa kipindi Cha Magufuli. Kwa Sasa hata polisi hawajali Tena kulinda raia wanasubiri mgao toka kwa waporaji tuu.
Labda mh rais Hana mpango wa kuendeleza mazuri ya JPM anataka kuendeleza ya JK.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
kwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?

umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
Soma Tena hajasema ulikuwa haukatiki. Ila ilikuwa Mara chache na ulirudi baada ya muda mfupi.
Umesahau bwawa la mtera kuisha maji ili watu wanunue majenereta? Nchi inaenda kubaya Kama hulioni hili Basi Tena.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Watu wameshaanza kurudi kama zamani kwa kufanya kazi kwa mazoea na bila hata chembe ya wasiwasi, siku hizi watoa huduma kwenye taasisi za serikali wameanza kuwa na viburi, hakunawa kumuogopa tena. Tunarudi enzi za Msoga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom