LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 952
- 2,876
Nawasalimu wakuu!
Kiukweli kilio hiki kimetutia simanzi wengi saana aswaa wale tunaoelewa tu tafsiri ya msiba. Kimsingi katika maisha yangu ya jeshini, nilifundishwa vitu vingi saana lakini nilichokizingatia hadi leo ni pale tulipoambiwa katika unatakiwa kupigia saluti maiti yeyote ile iwe ya Mwanajeshi, Raia, mwizi, na hata mheshimiwa ili mradi iwe ya binadamu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya kuonyesha respect na kwa mtu yeyote aliyefariki.
Mwalimu Nyerere wakati anang'atuka aliwahi kusema hivi "Kwenye uongozi wangu nimefanya mengi, mengine mema mengine ya kijinga lakini fuateni yale mema ya kijinga myaache"
Vivyo hivyo kwa Magufuli! Kafanya mengi mengine mema mengine ya kijinga.
Mema yake ndio dhumuni la uzi huu.
Kwanza namsifu kwa kuyaishi maneno yake angetaka kwenda kokote Duniani kutibiwa angeweza lakini katibiwa kwenye hospitali ya nchini kwake na kufariki hapo hapo Mzena hospital. Viongozi wengi vigeugeu lakini sio Magufuli.
Alizilinda rasilimali za Taifa kwa kumaanisha.
Weka na za kwako tuone.
Kiukweli kilio hiki kimetutia simanzi wengi saana aswaa wale tunaoelewa tu tafsiri ya msiba. Kimsingi katika maisha yangu ya jeshini, nilifundishwa vitu vingi saana lakini nilichokizingatia hadi leo ni pale tulipoambiwa katika unatakiwa kupigia saluti maiti yeyote ile iwe ya Mwanajeshi, Raia, mwizi, na hata mheshimiwa ili mradi iwe ya binadamu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya kuonyesha respect na kwa mtu yeyote aliyefariki.
Mwalimu Nyerere wakati anang'atuka aliwahi kusema hivi "Kwenye uongozi wangu nimefanya mengi, mengine mema mengine ya kijinga lakini fuateni yale mema ya kijinga myaache"
Vivyo hivyo kwa Magufuli! Kafanya mengi mengine mema mengine ya kijinga.
Mema yake ndio dhumuni la uzi huu.
Kwanza namsifu kwa kuyaishi maneno yake angetaka kwenda kokote Duniani kutibiwa angeweza lakini katibiwa kwenye hospitali ya nchini kwake na kufariki hapo hapo Mzena hospital. Viongozi wengi vigeugeu lakini sio Magufuli.
Alizilinda rasilimali za Taifa kwa kumaanisha.
Weka na za kwako tuone.