Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,839
- 38,736
Hizo hela alitoa mfukoni mwake? Kwanza vilio vya waliobomolewa nyumba zao hapo bado vinamtesa huko kuzimu alipoUkifika Kibaha Mailimoja kuelekea Mbezi lazima utamkumbuka Magufuli kwa zile njia sita