Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
![]()
![]()
![]()
Uongo mwingine bhana, sasa tokea lini mtu mwenye upara akanyoa kiduku.![]()
(Nasinzia)
Kweli unasinzia tena unasinzia ukiwa unakimbia. Tangu lini nikawa na upara mimi? Au ukionaga unywele wangu unadhanigi ni mawigi.....



