JamiiForums Usiku wa manane
Jamani sikutekwa na mtu yeyote bali nilikamatwa na sirikali eti kwa kuwa nilinyoa kiduku. Sasa hivi tu ndio nimepata dhamana kutoka mpendwa mmoja hapa, nikaona nipite hapa kuwasabahi

Uongo mwingine bhana, sasa tokea lini mtu mwenye upara akanyoa kiduku.
(Nasinzia)
 
Labda wewe, lakini huyo Nleterewa Nganengo sio kweli, maana naliumwa hakuja kuniona, nalikuwa gerezani hakuja kunifariji, nalikuwa na njaa hakunipa chakula, nalikuwa uchi hakunivika.....

Vip Mwifwa, hajambo? Naye ni wale wale kasoro sekunde.

Ukimuona jje's na HB wa kigogo wasalimie waambie tukumbukane japo kwa barua
Hhahaa pole aje ajitetee apa mwenyew...jje's yupo ndo anafarijiana na kaka ake apa
Hb wa kigogo alipoteza cm atarudi kua nas pamoja

Mwifwa single dady anakuja mida ya sa tisa
 
Labda wewe, lakini huyo Nleterewa Nganengo sio kweli, maana naliumwa hakuja kuniona, nalikuwa gerezani hakuja kunifariji, nalikuwa na njaa hakunipa chakula, nalikuwa uchi hakunivika.....

Vip Mwifwa, hajambo? Naye ni wale wale kasoro sekunde.

Ukimuona jje's na HB wa kigogo wasalimie waambie tukumbukane japo kwa barua

Huu mwaka naonewa sana. Eeh Mungu nipe uvumilivu.
 
Hhahaa pole aje ajitetee apa mwenyew...jje's yupo ndo anafarijiana na kaka ake apa
Hb wa kigogo alipoteza cm atarudi kua nas pamoja

Mwifwa single dady anakuja mida ya sa tisa
Mimi wala haina haja ya kujitetea. Ila kwa nilivyojitahidi kumtafuta kwa maneno na vitendo Mungu anajua
 
Back
Top Bottom