Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Basi ngoja ntakunong'oneza ndotoni hapa kuku wengi na mchele wenyewe kiduchu.Ohoooo,....we acha tuu kila kitu wazi jicho langu LA 3 litaona....

Basi ngoja ntakunong'oneza ndotoni hapa kuku wengi na mchele wenyewe kiduchu.Ohoooo,....we acha tuu kila kitu wazi jicho langu LA 3 litaona....

Ndotoni si mpaka nilale..lohBasi ngoja ntakunong'oneza ndotoni hapa kuku wengi na mchele wenyewe kiduchu.![]()

Jamani sikutekwa na mtu yeyote bali nilikamatwa na sirikali eti kwa kuwa nilinyoa kiduku. Sasa hivi tu ndio nimepata dhamana kutoka mpendwa mmoja hapa, nikaona nipite hapa kuwasabahi
Sijambo dear, niliwamiss pia. Vyuma tu ndo vimenifanya vibaya,we nawe huyo Kichwa Kichafu umemkaba mpaka penati hutaki kuniachia hata kwa sekundeKweli tumekumiso
Uko poa lakini?

Tumerariana mkuuI see you guys wengine mumerarwa, others mumerariwa and the rest mumerara![]()
Ndio maana nimewakimbia hawa wala rushwa, wasinifundisheUsikae hata na watoaji au wapokeaji rushwa maana watakuambukiza

Oooh niliwasahau nyie wakurarianaTumerariana mkuu

Hapana huku ni kwa popoz (sio bawa) na bundiz. Simply huku tuna popoz na kubundika at ze seimu taimu.Humu ni kwa couples tu or..!!
Hhahaa pole aje ajitetee apa mwenyew...jje's yupo ndo anafarijiana na kaka ake apaLabda wewe, lakini huyo Nleterewa Nganengo sio kweli, maana naliumwa hakuja kuniona, nalikuwa gerezani hakuja kunifariji, nalikuwa na njaa hakunipa chakula, nalikuwa uchi hakunivika.....
Vip Mwifwa, hajambo? Naye ni wale wale kasoro sekunde.
Ukimuona jje's na HB wa kigogo wasalimie waambie tukumbukane japo kwa barua
Wachunguze vizuri na hao uliopo nao sasa , pengine niwatoaji na wapokeaji wazuri mkuuNdio maana nimewakimbia hawa wala rushwa, wasinifundishe![]()
![]()
![]()
Mbaya....![]()
![]()
![]()
Ahsante Mungu Baba wa Mbinguni kwa kumleta huyu kiumbe aliyekua ametekwa na Hunter wa viwango vya juu lakini Leo tuko nae pamoja kilingeni. Habari ya utekwaji?

zZ
Labda wewe, lakini huyo Nleterewa Nganengo sio kweli, maana naliumwa hakuja kuniona, nalikuwa gerezani hakuja kunifariji, nalikuwa na njaa hakunipa chakula, nalikuwa uchi hakunivika.....
Vip Mwifwa, hajambo? Naye ni wale wale kasoro sekunde.
Ukimuona jje's na HB wa kigogo wasalimie waambie tukumbukane japo kwa barua
Last man standing himself![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
zZ
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimeletewa hooh sorry Nililetewa ooh no! Nleterewa... ok hivyo hivyo!
Dingimnoko eeh heeeh Dingi mtoto!

Mimi wala haina haja ya kujitetea. Ila kwa nilivyojitahidi kumtafuta kwa maneno na vitendo Mungu anajuaHhahaa pole aje ajitetee apa mwenyew...jje's yupo ndo anafarijiana na kaka ake apa
Hb wa kigogo alipoteza cm atarudi kua nas pamoja
Mwifwa single dady anakuja mida ya sa tisa
