Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Heee baby jomonii utaota,ngoja anioneshe mm tuu leo...Ww Fanya mpango wa bando eeh,Dear akikuonyesha nitag.
Jamani sikutekwa na mtu yeyote bali nilikamatwa na sirikali eti kwa kuwa nilinyoa kiduku. Sasa hivi tu ndio nimepata dhamana kutoka mpendwa mmoja hapa, nikaona nipite hapa kuwasabahiHaha alafu umemteka wapi Thad ww
Asante sana...afadhali umekujaRushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa!
R.I.P TANU
Hahaha hapaonekani kwa macho ya kawaida![]()
![]()
unaumia wapi hebu nione...

Navuta kiti niangalie pambano![]()
![]()
![]()
Vita imeanza

Kuna audio nimeangaika kukutumia leo aisee imenizingua kweli. Ngoja nijaribu saizi.Heee baby jomonii utaota,ngoja anioneshe mm tuu leo...Ww Fanya mpango wa bando eeh,
Ohoooo,....we acha tuu kila kitu wazi jicho langu LA 3 litaona....Hahaha hapaonekani kwa macho ya kawaida![]()
Hahaha hamna bhana jana ilikua vita ya mafahali Leo ya upande wa pili, mimi ni kama UN sina nia mbaya.Hahahahaahhaaaaaa mkuu naona unakoleza moto.
Bando wakt na mm kaniahid apa nasubiria nidownload movie za kikoreaHeee baby jomonii utaota,ngoja anioneshe mm tuu leo...Ww Fanya mpango wa bando eeh,
Hahaha mwalimu wako nleterewa alikumiss sana pamoja na mmJamani sikutekwa na mtu yeyote bali nilikamatwa na sirikali eti kwa kuwa nilinyoa kiduku. Sasa hivi tu ndio nimepata dhamana kutoka mpendwa mmoja hapa, nikaona nipite hapa kuwasabahi
Mm au Inna!?Kuna audio nimeangaika kukutumia leo aisee imenizingua kweli. Ngoja nijaribu saizi.
Usikae hata na watoaji au wapokeaji rushwa maana watakuambukizaRushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa!
R.I.P TANU
Kweli tumekumisoJamani sikutekwa na mtu yeyote bali nilikamatwa na sirikali eti kwa kuwa nilinyoa kiduku. Sasa hivi tu ndio nimepata dhamana kutoka mpendwa mmoja hapa, nikaona nipite hapa kuwasabahi
Heheheehe kazi anayo leo,namm simuachii mpaka anipe....Bando wakt na mm kaniahid apa nasubiria nidownload movie za kikorea
Rushwa ni adui wa haki,sitapokea wala kutoa rushwa!
R.I.P TANU
Hahaha ungejua tokea ashinde Biko alinitimuaga na kumwajiri Mwl mwingine HB.. nani sijui,, eti mimi na Mwifwa tushazeeka. Anyway ila nilimis sana.Hahaha mwalimu wako nleterewa alikumiss sana pamoja na mm
Labda wewe, lakini huyo Nleterewa Nganengo sio kweli, maana naliumwa hakuja kuniona, nalikuwa gerezani hakuja kunifariji, nalikuwa na njaa hakunipa chakula, nalikuwa uchi hakunivika.....Hahaha mwalimu wako nleterewa alikumiss sana pamoja na mm