dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Comrade!!!! Comrade!!!!Naomba acha mazoea na huyo kiumbe, chunga sana utaumia kijana.
Angalia usije jikuta huna nyeti zako sasa hiv sisi wengine sio wa kichezewa kabisaa
Comrade!!!! Comrade!!!!Naomba acha mazoea na huyo kiumbe, chunga sana utaumia kijana.
Mbona mapema? Au kwa kuwa dingimtoto kaingia?Aya usiku mwema ngoja tulale sie
Angalia usije kuta unajitolea mwenyeweComrade!!!! Comrade!!!!
Angalia usije jikuta huna nyeti zako sasa hiv sisi wengine sio wa kichezewa kabisaa
Huyo mkuu anapenda kufuatilia maisha ya watuMbona mapema? Au kwa kuwa dingimtoto kaingia?
Picha za kikubwa ndo zile ambazo hazikinaishi macho kuzitazama. Pia watu wengi hujifanya kukasirika wakiziona hadharani huku hao hao watu huzifurahia wakizikuta faraghaniHivi picha za kikubwa ndo zipi hizo?![]()
![]()
![]()
Akili yangu nyembamba haijajua methali!![]()
![]()
![]()

Ana mnyapia nyapia inna wangu, nilisha mpa onyo kali sasa sijui atataka ninMbona mapema? Au kwa kuwa dingimtoto kaingia?
Aisee safi kamanda salama huko???Dingi niaje?
Kwema ndugu yanguAisee safi kamanda salama huko???
Karibu komredi. Naona paap mlipotea na Thad na Mara paap mmerudi wote kwa pamoja. Ashukuriwe Mungu. Kwema lakini?Ndugu zangu kwema
Dodomia wanasemaje kamandaKwema ndugu yangu
Comrade!!!! Comrade!!!!
Angalia usije jikuta huna nyeti zako sasa hiv sisi wengine sio wa kichezewa kabisaa
Ohoooo uchochezi huooooKaribu komredi. Naona paap mlipotea na Thad na Mara paap mmerudi wote kwa pamoja. Ashukuriwe Mungu. Kwema lakini?
Ukisikia ramli chonganishi ndio hii yakoKaribu komredi. Naona paap mlipotea na Thad na Mara paap mmerudi wote kwa pamoja. Ashukuriwe Mungu. Kwema lakini?

Hahaha natania tu komredi, mchochezi humu ndani yuko mmoja tu na anajijua.Ohoooo uchochezi huoooo
Uko vizur