Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Eti anasema niko busy na kwichi kwichi, angejua jinsi nilivyo singo dady asingesema
Eti anasema niko busy na kwichi kwichi, angejua jinsi nilivyo singo dady asingesema
Eti anasema niko busy na kwichi kwichi, angejua jinsi nilivyo singo dady asingesema


Haha nipatie sahv ili ukifungwa potea huko hukoInna geti likifunguliwa nishtue nna ujumbe wako,...Niko nachek mechi ila nikifungwa tuu nalala maana sitokuwa na nguvu ya kukupatia ujumbe wako.
na kama unaangalia chelsea utalala kweliInna geti likifunguliwa nishtue nna ujumbe wako,...Niko nachek mechi ila nikifungwa tuu nalala maana sitokuwa na nguvu ya kukupatia ujumbe wako.
Haha nipatie sahv ili ukifungwa potea huko huko
Inna geti likifunguliwa nishtue nna ujumbe wako,...Niko nachek mechi ila nikifungwa tuu nalala maana sitokuwa na nguvu ya kukupatia ujumbe wako.
Heri yako kama mrembo amelikurupua dude , sasa ushindwe kuliekeza kunako takiwaTupo macho,tunaamsha madude
Haha tulia bas tichaa...ntakupa kitu kidogo![]()
![]()
![]()
Faini zinawahusu, (rushwa napokeaga ila sio kiviiile)![]()
Wewe umeanza kusinzia,
Siku hizi mapopo wamepungua sijui vipi mkuuNaona mapopo wengine bado
Dingimtoto bae kuja uone tunavoambiwaHahaha mshiki ngoja nifumbe jicho moja kidogo, nisadie kumsubiri Dingimtoto ameenda kwa Inna kuomba chaja ya simu, akirudi atafunga geti.
Ewaah, hayo ndo manenoHaha tulia bas tichaa...ntakupa kitu kidogo
Kuna imejensi imetokea wameruhusiwa wawili tu nashangaa wanaingia wote.Jamani bado muda wapendwa!
Hahahahaahhaaaaaa na ww unatizama mpira?Inna geti likifunguliwa nishtue nna ujumbe wako,...Niko nachek mechi ila nikifungwa tuu nalala maana sitokuwa na nguvu ya kukupatia ujumbe wako.
Kazi umbea tuHaha nipatie sahv ili ukifungwa potea huko huko

Hatutaki rushwaHaha tulia bas tichaa...ntakupa kitu kidogo
Acha upimbi basi.Dingintoto bae kuja uone tunavoambiwa
Hhaahha silali mkuu mpaka kielewekena kama unaangalia chelsea utalala kweli