mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,093
- 4,912
Wana tete haki ya kitanda mkuuNaona leo wako likizo
Wana tete haki ya kitanda mkuuNaona leo wako likizo
Watu Leo wamekumbatia mablanket yanayotembea hali ya hewa ni mubashara masingle tunakesha jfWana tete haki ya kitanda mkuu
Mwamba umerud tena karibuNAPATA MASHAKA SANA NA AINA YA WATU WANAOCHACHANGIA UZI KAMA HUU..THIS IS INSANITY!!!!!
Achaa tu mkuu c unajua tena wengine chapa ilaleWatu Leo wamekumbatia mablanket yanayotembea hali ya hewa ni mubashara masingle tunakesha jf
Siku Ukiwa unachapa unatuacha naona Leo hata wa 5000 umekosaaa ngj wangapi wakuchapeee vizurAchaa tu mkuu c unajua tena wengine chapa ilale
Mkuu umeniacha njiapanda mawazo yako makubwa sana unasubir jibuNAPATA MASHAKA SANA NA AINA YA WATU WANAOCHACHANGIA UZI KAMA HUU..THIS IS INSANITY!!!!!
May b but kama hatuvunji sheria za Jf nani wa kutupima lucid state of mind ya cc walinzi mkuuMkuu umeniacha njiapanda mawazo yako makubwa sana unasubir jibu
Watu Leo wamekumbatia mablanket yanayotembea hali ya hewa ni mubashara masingle tunakesha jf
Watu Leo wamekumbatia mablanket yanayotembea hali ya hewa ni mubashara masingle tunakesha jf

tupoUpopo umenichosha jamani!! Mpooo?

Unahitaji kuonewa huruma dogo..watu usiku huu wanazungumza mipango ya namba ww umekaa kama ka msukule kucomment kwenye uzi wa kindezi kama huu..rubbishMwamba umerud tena karibu
TupoooUpopo umenichosha jamani!! Mpooo?
Kukujibu ww nahisi kinyaaa..rubbishMkuu umeniacha njiapanda mawazo yako makubwa sana unasubir jibu
Usipate shaka sana. Sisi ni watu pia ila tuko tofauti na wengine. Watu wanalala sisi ndio kwanza kumekucha. Kwangu mimi not by choice lakini inatokea hivyo.NAPATA MASHAKA SANA NA AINA YA WATU WANAOCHACHANGIA UZI KAMA HUU..THIS IS INSANITY!!!!!