Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Hahahhahaaaaa.Unamuambia nan sasa..ka msukule ww
Ndio ninapozipendea stress, haya twende kazi hadi majogoo
Hahahhahaaaaa.Unamuambia nan sasa..ka msukule ww
Anaweza kujikuta kajisajili hapa bila kupendaHahahhahaaaaa.
Ndio ninapozipendea stress, haya twende kazi hadi majogoo

Anaweza kujikuta kajisajili hapa bila kupenda![]()
![]()
Kweli stress nouma
BADILIKENI MADOGO UZI HUU NI WA KITOTO NA AIBU KWA WATU KUCHANGIA..MTAOLEWAHahahhahaaaaa.
Ndio ninapozipendea stress, haya twende kazi hadi majogoo
Ukiolewa wewe basi na sisi tutaolewaBADILIKENI MADOGO UZI HUU NI WA KITOTO NA AIBU KWA WATU KUCHANGIA..MTAOLEWA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna uzi nilianzisha akaunasa mapema bado mbichi kamwaga povuu, mimi sikumjibu nikampa like tu.
Watu wakaja kumjibu povu lake, baadae aliporudi kanipa like na mimi kwenye huo uzi aliouponda
nimecheka mpaka basi.... Maskini sijui ana tatizo gani, maana sasa hivi tu kuna uzi namuona anatokwa na mapovu mpaka huruma! NIMAJARIBU KUKUSAIDIA KUWAONYESHA NJIA ILIYOSAHIHI..HUU NI UTOTO NA UPIMBI WA HALI YA JUU..HIKI NI KIJIWE CHA KUSUKANA NYWELE..HAMTOTOBOAUkiolewa wewe basi na sisi tutaolewa
Unatucheka au unatuchekeleaHshahaaaaaa
Inaelekea anawaza tu kuolewa huyu....Ukiolewa wewe basi na sisi tutaolewa
Mkuu mbona hasira tena mzee haya bhana sie wapuuz lakin kwenye msafara wa kenge na mijusi wapoNYUZI KAMA HIZI NI ZA KIPUUZI SANA..RUBBISH
Hapa ni kijiwe cha soga mkuu story tu kwa wale tisio na usingiz karibu kanuni na mashart kuzingatiwaMkuu for the first time kwenye huu uzi atasijuagi nn kinaendelea...
Wewe umesukwa style ngapi hadi sasa hivi?NIMAJARIBU KUKUSAIDIA KUWAONYESHA NJIA ILIYOSAHIHI..HUU NI UTOTO NA UPIMBI WA HALI YA JUU..HIKI NI KIJIWE CHA KUSUKANA NYWELE..HAMTOTOBOA
Hahahahahahaaaaaa![]()
![]()
![]()
nimecheka mpaka basi.... Maskini sijui ana tatizo gani, maana sasa hivi tu kuna uzi namuona anatokwa na mapovu mpaka huruma!
Hizo stress kama sio za VYUMA basi ni MAPENZI
Hata mimi sijamuelewaUnatucheka au unatuchekelea
Malizia Lindo mkuu nilikuwa napita kuangalia usalamaa umekaaje tunani mwenye funguo ni kabidhiwe lindo