JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

[emoji15] [emoji15] [emoji15] kwani mimi niko katikati?
Jamani mimi ni huyo wa kushoto kwa spika (ambaye nimefumba mdomo)
Kumbe wewe ni sekeretari eehhh, bigi apu sana
 
Utaona kama hutaomba msamaha, utasoma shule na hutomaliza.

Wewe lete kiburi hivyo hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shule ikishindikana nitaachana nayo...maana kufeli masomo sio kufeli maisha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] naona unataka kutuvurugia uchaguzi sio bure [emoji123] [emoji123]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tanabana matumizi
 
Back
Top Bottom