Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hapo sawa maana hicho cheo kinakufaa sana
kwani mimi niko katikati? Jamani mimi ni huyo wa kushoto kwa spika (ambaye nimefumba mdomo)
Hapo sawa maana hicho cheo kinakufaa sana
kwani mimi niko katikati? Kumbe wewe ni sekeretari eehhh, bigi apu sana![]()
![]()
kwani mimi niko katikati?
Jamani mimi ni huyo wa kushoto kwa spika (ambaye nimefumba mdomo)
Utaona kama hutaomba msamaha, utasoma shule na hutomaliza.
Wewe lete kiburi hivyo hivyo
shule ikishindikana nitaachana nayo...maana kufeli masomo sio kufeli maishaShauri yako siku hizi watu wanakula na CV hadi harusini![]()
![]()
shule ikishindikana nitaachana nayo...maana kufeli masomo sio kufeli maisha
Njoo tuko kwenye uchaguzi wa spika wa bunge letu....kura yako ni muhimu sanaSleepless!
Huyo ndio mgombea na kashapita tayariNjoo tuko kwenye uchaguzi wa spika wa bunge letu....kura yako ni muhimu sana
Wewe ni huyo wa mwisho kushoto,unayeonekana jicho mojaMimi sipo hapo![]()
![]()

Huyo ndio mgombea na kashapita tayari
naona unataka kutuvurugia uchaguzi sio bure

Haina shida kiongozi, raia ndo washakukubali we kubali tu kuwa mh.spikaMkuu for the first time kwenye huu uzi atasijuagi nn kinaendelea...
Huyo sio mimi labda NganengoWewe ni huyo wa mwisho kushoto,unayeonekana jicho moja![]()
![]()
![]()
Haina shida kiongozi, raia ndo washakukubali we kubali tu kuwa mh.spika

Naunga hoja miguuHaina shida kiongozi, raia ndo washakukubali we kubali tu kuwa mh.spika
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tanabana matumizi
msitubanie vyuma vyetu kwa visingizio vya kubana matumizi hapa!Umeona eehh!!![]()
![]()
Ila kweli wamefanana kabisa!