Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Leo umekuja kivingine lol010105 EAT JUL 18
Leo umekuja kivingine lol010105 EAT JUL 18
Aliyejibu anajua alichofanya mida hiyo kw tarehe hizo maana alikuwa chimbo anapu.. ngoja nisimalizie. Atanitenga!Apa ata sielewi
Kumbe hilo jina lake maana yake ni chepe eeeh? Bora nimelijua maana hilo la kiinglish linanipaga shida sana kulitamkaChepe umeanza fujo hyo july 18 ya pluto au

Tupo kijiweni mkuu kila mtu na mishe zake wengine twala ugoro c unajua kuber hamnanini kinaendelea usiku huu wa manane?
Aliyejibu anajua alichofanya mida hiyo kw tarehe hizo maana alikuwa chimbo anapu.. ngoja nisimalizie. Atanitenga!

Haaaaaa! tHAd bhana! Yule mjomba alikuwa anajifanya anajua kutafasiri kutoka jina halisi kwenda kiswanglish cha kwake sasa amekosea maana kaishia njiani.Kumbe hilo jina lake maana yake ni chepe eeeh? Bora nimelijua maana hilo la kiinglish linanipaga shida sana kulitamka![]()
![]()
![]()
hahahah. acheni hizo wakuuTupo kijiweni mkuu kila mtu na mishe zake wengine twala ugoro c unajua kuber hamna
Nisaidie kumalizia basi swahiba yanguHaaaaaa! tHAd bhana! Yule mjomba alikuwa anajifanya anajua kutafasiri kutoka jina halisi kwenda kiswanglish cha kwake sasa amekosea maana kaishia njiani.
Muulize Maserati au Inna ndo wanajua kulitamka vizuri. Wakikuzuga njoo nikunong'oneze!Nisaidie kumalizia basi swahiba yangu
Inna na Maserati, msaada tutani wapendwa wanguMuulize Maserati au Inna ndo wanajua kulitamka vizuri. Wakikuzuga njoo nikunong'oneze!
Niko poa swahiba yangu!Mzima wewe lakini
HahahahaaaaKweli mwaka mpya mambo mapya.
Mwaka huu nahama shule, walimu wangu watakuwa Kichwa Kichafu na HB wa kigogo.
Wewe na Nganengo sio walimu wangu tena. Kwanza mmenifelisha sana mwaka jana...![]()
![]()
![]()
Kuja hapa mwanafunziNiko poa swahiba yangu!