Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,360
- 95,751
Cha asubuhi na kibaridi hili safi kbs
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanini pachimbike?Hahahahaaaa
Nitaona jinsi utakavyoondoka, lazima pachimbike hapo
Abee mwl.wangu wa zamaniKuja hapa mwanafunzi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kumekucha wachawi nawapitia mabundi na mapopo tukawangeeeee kwenye jukwaa la siasa
Kumekucha wachawi nawapitia mabundi na mapopo tukawangeeeee kwenye jukwaa la siasa
Hamna kuhama shule!![emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanini pachimbike?
Siwezi kuwa mwalimu wa zamani hata kidogo, nitake radhi kabisa[emoji5] [emoji5] [emoji5]Abee mwl.wangu wa zamani
Namuona mwanafunzi wangu Thad katikati hapo![]()
Kweli kabisa kule ndio mahali petu
Umeona eeeh!Namuona mwanafunzi wangu Thad katikati hapo
Too late my ex- teacher, nimeshahamia shule jirani kitamboHamna kuhama shule!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeona eeeh!
Sijui nana spika wetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi hapanani yupo mkoa wa songwe?
Ivi hunielewi kumbeeee[emoji126]Too late my ex- teacher, nimeshahamia shule jirani kitambo
Huyo wa katikati aliyachama ndio spika na aliyeachama pembeni yake ni naibu spika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Chagua hapo
Hapo sawa maana hicho cheo kinakufaa sanaHuyo wa katikati aliyachama ndio spika na aliyeachama pembeni yake ni naibu spika
Huna cha kunifanya tena, tafuteni mwanafunzi mwingine tuIvi hunielewi kumbeeee[emoji126]
Utaona kama hutaomba msamaha, utasoma shule na hutomaliza.Huna cha kunifanya tena, tafuteni mwanafunzi mwingine tu