Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Kumbe hilo ndo chimbo lenu eeh!Mbona mapema au unaenda jukwaa la korean drama
Kumbe hilo ndo chimbo lenu eeh!Mbona mapema au unaenda jukwaa la korean drama
La kwake ndo namwonaga san pnde hizoKumbe hilo ndo chimbo lenu eeh!
We chimbo lako ni lipi?La kwake ndo namwonaga san pnde hizo
Na mm nipmBado sijasema nae, ngoja nim- PM tusikie anasemaje
Uliniona lini huko acha uongo we mwanamkeMbona mapema au unaenda jukwaa la korean drama
Aisee sina zaidi ya hapa huko kwingine napita pita tuWe chimbo lako ni lipi?
Maana kuna haja ya kuelezana kabisa machimbo,ili mtu akikosekana hapa tumfate huko huko [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kusikia tu pm umeamka lol!Na mm nipm
Unazingua ww hamna siku unakosekan kuleUliniona lini huko acha uongo we mwanamke
Mkuu mwite mzigu90 aje huku apunguze stressBila shaka aliyetumiwa keshamjibu![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora yako huna michepuko kama Neybright [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aisee sina zaidi ya hapa huko kwingine napita pita tu
Ndio ugonjwa wangu huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] kusikia tu pm umeamka lol!
[emoji102] [emoji102]Unazingua ww hamna siku unakosekan kule
Chepe umeanza fujo hyo july 18 ya pluto au010105 EAT JUL 18
Acha kuandika uongo, kwahyo na leo nilikuwa kule?Unazingua ww hamna siku unakosekan kule
"Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba" [emoji124] [emoji124] [emoji124]Unazingua ww hamna siku unakosekan kule
Apa ata sielewi010105 EAT JUL 18
010110 EAT JUL 10Chepe umeanza fujo hyo july 18 ya pluto au
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja tumwache kwanza asemezane na wadau kwenye uzi wake, huenda akajipatia faraja kuleMkuu mwite mzigu90 aje huku apunguze stress