Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Ndo heri gani hiyo, wanitakia kwa kilugha ambacho sikijuiTatizo huji ofisini nikikuita ndio maana salamu zinakupita tu.
Heri ya Niu Iyaa Mwanafunzi mtiifu

Ndo heri gani hiyo, wanitakia kwa kilugha ambacho sikijuiTatizo huji ofisini nikikuita ndio maana salamu zinakupita tu.
Heri ya Niu Iyaa Mwanafunzi mtiifu

Walimu wangu nawadai zawadi.....sijasahauSasa ndio umeelimika mwanafunzi wangu kipenzi, lazima ufike mbali hadi Harvard kwa Trump![]()
Miss you shem
Wao si hawanipi....na mimi siwapi! Jino kwa jinoHahaha..
Wewe umeshatoa ngapi mkuu?

Umekosea...mimi hapa nimebet kwenye ndondo cupWote ambao hamlali usiku mnasubiri kubet NBA. Nani asiyewajua.
Tushirikishe mkuu, ili nasi tupunguze mastress ya mchanaNipo nachek churchil show, profesa hamo is a real comedian broooo
Aliyekualika wewe ndiye kawaalika na waoNipo kwenye kigodoro hapa naona watu wamejaaa sjui nani kawaalika
Ukimaliza hilo, kagua majina ya wezi wa 'eskroo'Nipo nakagua majina ya wadaiwa sugu... Hapa.
Duuh poleAsante sana! Amini usiamini tangu mwaka uanze wewe ndio mtu wa kwanza kunitakia mafanikio ya mwaka![]()
![]()
Kumbe lile somo la lugha hukulielewa eehhNdo heri gani hiyo, wanitakia kwa kilugha ambacho sikijui![]()
![]()
![]()
Zawadi ilikuwa mwaka jana sasa hamna zawadi mwaka huuWalimu wangu nawadai zawadi.....sijasahau
Halafu hujaniwish kabisa sijui hunitakii mema mwaka huuWao si hawanipi....na mimi siwapi! Jino kwa jino![]()
![]()
![]()
Nipo nakagua majina ya wadaiwa sugu... Hapa.
Sasa ningelala ungenipata wapi maana ningekwamisha uchunguzi wakoMkuu hulali... Dah
Miss you too dearMmmh! Best muongo jana ulikuwa mtoro!![]()
![]()
![]()
Miss you dear
Amezaa vitoto 4. Jana. Tuwasiliane tu Pm.Nitaweza mkuu, ninashida nao sana hao viumbe