JamiiForums Usiku wa manane
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Hivi sasa ni 00:01 usiku naperuzi JF
 
Halafu hujaniwish kabisa sijui hunitakii mema mwaka huu
Ngoja kwanza mwaka usogee sogee angalau mpaka Septemba, sasa hivi ni mapema mno.....nisije nikakuwish ukachukua na baraka zangu bure
 
Zawadi ilikuwa mwaka jana sasa hamna zawadi mwaka huu
Kweli mwaka mpya mambo mapya.
Mwaka huu nahama shule, walimu wangu watakuwa Kichwa Kichafu na HB wa kigogo.

Wewe na Nganengo sio walimu wangu tena. Kwanza mmenifelisha sana mwaka jana...
 
Back
Top Bottom