Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Tatizo lako huwezi kutofautisha mambo ya bayana na siriniAfadhali umevuka salama, kwa jinsi nilivyokuacha mwaka jana sikutegemea aisee.... Ila mkakati wetu ule tuliopanga kwa 2018 wa kuacha mvinyo naomba tuutimize. Binafsi zile balimi 50 zilikuwa za kuaagia mwaka na kuaga ulevi kabisa![]()
![]()
![]()
Hivi umesahau wazee tumeambiwa tutumie "mvinyo" kidogo kwa ajili ya tumbo? Hebu kamsome vizuri Timotheo



