JamiiForums Usiku wa manane
Afadhali umevuka salama, kwa jinsi nilivyokuacha mwaka jana sikutegemea aisee.... Ila mkakati wetu ule tuliopanga kwa 2018 wa kuacha mvinyo naomba tuutimize. Binafsi zile balimi 50 zilikuwa za kuaagia mwaka na kuaga ulevi kabisa
Tatizo lako huwezi kutofautisha mambo ya bayana na sirini
Hivi umesahau wazee tumeambiwa tutumie "mvinyo" kidogo kwa ajili ya tumbo? Hebu kamsome vizuri Timotheo
 
Back
Top Bottom