JamiiForums Usiku wa manane

Mithali 20: 1 "Mvinyo hudhihaki, Kileo (balimi) huleta ugomvi na akosae kwa vitu hivyo hana hekima".
HAPPY NEW YEAR (kuna mahali nimeigilizia)
Afadhali umevuka salama, kwa jinsi nilivyokuacha mwaka jana sikutegemea aisee.... Ila mkakati wetu ule tuliopanga kwa 2018 wa kuacha mvinyo naomba tuutimize. Binafsi zile balimi 50 zilikuwa za kuaagia mwaka na kuaga ulevi kabisa
 
Back
Top Bottom