Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Teh teeh nani huyoo au mwifwaaHahaha siku izi naona kanitosa, kasema amepata Mwl hensamu na kijana, wazee tupumzike![]()
Teh teeh nani huyoo au mwifwaaHahaha siku izi naona kanitosa, kasema amepata Mwl hensamu na kijana, wazee tupumzike![]()
Mara ya mwisho niliyaona wakati naelekea kwenye azimio la Arusha, yalikua yameandikwa kwenye gauni aina ya krinplini alilokua amevaa, mke wa mlowezi mmoja kutoka wingerezaHebu nambie uliyaona wapi kwanza,.

Wakongwe wa kutokusinzia. Wazee wa kukesha.Wakongwe wa nini mkuu? Kauli tata hii
Nawe unakunywa biaNaomba bia...happy new yr

Nmeuliza tu mana naona na ww unaanza kugeuka kua mchocheziWewe wasema![]()
![]()
Ohooo!!! Kumbe tatizo ni tulizo la moyo...Ukiona hivyo sna kumbatio La pemben LA kunibembeleza nilale
Hapana mpendwaNawe unakunywa bia![]()
Hmm!!Nimechoka kulala peke yangu jaman kama kuna popo aje hapa tupeane kampany ya story mbili tatu nimtumie uber

Uko wapi nije?Nimechoka kulala peke yangu jaman kama kuna popo aje hapa tupeane kampany ya story mbili tatu nimtumie uber
Ila unaonja kipenzHapana mpendwa
Kemirembe style?Ata wa kike??
Sionji kabsa kipenziIla unaonja kipenz
Hahaha aisee, ina maana siku izi ukiongea ukweli unakua mchochezi sioeNmeuliza tu mana naona na ww unaanza kugeuka kua mchochezi

Ooh!! Afadhali kwa maana.... nilikua nishaanzaSionji kabsa kipenzi
Tutawafikiria vibaya. Joto la uumeni litamfaa zaidi
Hapana mpendwa
