Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,462
- 96,886
Wacha ujinga, I asked you a question .Muwe na wakati muzuri team.. Muda wa matukio uo.. 🙏
Wacha ujinga, I asked you a question .Muwe na wakati muzuri team.. Muda wa matukio uo.. 🙏
Kwambaje aty😂Wacha ujinga, I asked you a question .
Ndio nini? 😂Kwambaje aty😂
Hongera 😎I was here 👋❤️
Wana Usiku wa manane Family, nawapenda sana. Tumekumbushia enzi zetu...
Dahan
Intelligent businessman
Dalali wa mjini
wazamiaji secretarybird na wengine wote 👋
Muda wa kuzama club huu...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Good morning Everyone 😜
04:22
Asante kwa kuiweka hii sawaSio kanisa sema nyumba ya ibada
Allahu AkbarLeo nataka kuwaambia, Mungu ni Mkuu sana. Acheni aitwe Mungu. Sifa na Utukufu ni zake. Ananifanya mpaka nijione mimi ni last born wake 🥰
00:56
Mimi huwa wa kwanza kutayarisha lindo,halafu naibuka tena mida ya saa tisa au kumi usiku kucheki kama kuna usalamaEtugrul Bey umetukimbia huku.. 🤗
Mimi mwenyewe shushu😂😂Hivyo vijiwe vya town sio vya kukaa wamejaa mashushu wa nchi hii
Hongera sana tajir Bantu Lady nakuahidi juhudi zako nitazienzi,hazitapotea bureMiaka 10 kwenye Usiku wa manane 😅😅😅🙌🙌🙌🙌
Huu utakuwa wa 11.
Kuna miaka ya kati, kina Toyeye walikuwa wananishangaa kila ikifika saa 6, naupandisha huu uzi. Naulizwa hulali? 😂😂😂
Nina historia nao huu uzi, kipindi kila mtu kaususa nilikuwa hapa. Nashukuru wengine mmebeba jukumu hili. Leo nina furaha zangu miye 🥰🥰🥰 hata usingizi unagoma.
Khee mambo za baninyo mamodinyo, napoelekea ntapewa ban nitulie nina ahadi na watu muhimuMonetary doctor bibie Bantu Lady anskupa tuhuma😎
Jina lako lilikuwa linaandikwa andikwa bila kutagiwa nikawaambia hii ni plagiarism ya majina ya watu ndo maana nikaamua kukujulisha.Khee mambo za baninyo mamodinyo, napoelekea ntapewa ban nitulie nina ahadi na watu muhimu
Nasubiri nione mlipuko huo, itakuwaje ?? Habari za asubuhiiJina lako lilikuwa linaandikwa andikwa bila kutagiwa nikawaambia hii ni plagiarism ya majina ya watu ndo maana nikaamua kukujulisha.
Salama salumini, mambo yanaendaje huko mikocheni jijini dar es salaam.Nasubiri nione mlipuko huo, itakuwaje ?? Habari za asubuhii
Mikocheni ni njema kabisa, najaribu kutokea kwa kutumia barabara ya mwai kibaki ili niende kuwinda ndege ili nikaonane na humtomreysonSalama salumini, mambo yanaendaje huko mikocheni jijini dar es salaam.
Nasikia mvua Kali inanyesha huko. Ukweli wa taarifa hii uko wapi😎.Mikocheni ni njema kabisa, najaribu kutokea kwa kutumia barabara ya mwai kibaki ili niende kuwinda ndege ili nikaonane na humtomreyson
Mkuu mimi toka nije huku hata Bantu Lady, Selikavu, Razorblade, trudie wali wahi kuni uliza nalala Saa ngapi?.Hongera sana tajir Bantu Lady nakuahidi juhudi zako nitazienzi,hazitapotea bure
Nimeshika hii bendera ya kuupeperusha huu uzi wenye historia kubwa kwako binafsi na wadau wengine pia akiwemo raisi wa majobless Intelligent businessman
Tupo pamoja sana
Kaka ni popo mpaka najiuliza unalala kweli.... kitambo sana sijareport humuMkuu mimi toka nije huku hata Bantu Lady, Selikavu, Razorblade, trudie wali wahi kuni uliza nalala Saa ngapi?.
Bila ya kujua nalala Kama wao tu, so huu ni mzimu wangu😂😁