Inaanza na P, nilikuwa mtu wa mungu sana enzi zile.Wewe kama siyo N mmmh!!!
Niambie tu kwa herufi ya kwanza na ya mwisho.
Hii JF/JA ni msitu wa Amazon haki 😜
Monetary doctor bibie Bantu Lady anskupa tuhuma😎Kuna ID zinatagiana kuna kitu tu, niko karibu nazifatilia. Siku kuna kitu kitalipuka tena. Ikiwemo hii ya secretarybird na sijui doctor wa nini, kuna sijui banini heee nyie vijana nyie nyie mmmh!!!
Nyoo sasa ikawaje ubadili? Mmh!!! P??? Na herufi ya mwisho?Inaanza na P, nilikuwa mtu wa mungu sana enzi zile.
Wee sijamtaja mtu, halafu kwanini huwa unachongea watu? Nyuzi zote uko hivi 😅😅😅😅 nakukimbia.Monetary doctor bibie Bantu Lady anskupa tuhuma😎
Herufi ya mwisho kesho nitakutajia.Nyoo sasa ikawaje ubadili? Mmh!!! P??? Na herufi ya mwisho?
Rafiki yangu yule hana shida. Sisi ni watu wa matani tuko hapa kuondosha stress 😀Wee sijamtaja mtu, halafu kwanini hiwa unachongea watu? Nyuzi zote uko hivi 😅😅😅😅 nakukimbia.
Kwani naye kabadili ID? Mnajuana nyinyi. Au fekero lako? 😀😀😀Monetary doctor bibie Bantu Lady anskupa tuhuma😎
Sisi tunajuana kabisa, ni classmatesKwani naye kabadili ID? Mnajuana nyinyi. Au fekero lako? 😀😀😀
02:07
Anajua mwenyewe alipo leo😂😂😂Intelligent businessman mbona umekimbia mapema? Weekend leo unalala, aah amka bwana.
KaribuNipo