JamiiForums Usiku wa manane

Kweli huyo fundi wa kuziba matundu sio mchezo, kwani kikombe kilikua kimetobika sanae?
Wala hakikutoboka sana basi tu namshangaa huyo fundi kutumia muda mwingi sijui alikuwa anamendea na msosi kwangu?
alisahau kuwa mkulu katwmbia tubane kila kitu hivyo mi mwenzie nashindia na kulalia maji ya kisima
 
Wala hakikutoboka sana basi tu namshangaa huyo fundi kutumia muda mwingi sijui alikuwa anamendea na msosi kwangu?
alisahau kuwa mkulu katwmbia tubane kila kitu hivyo mi mwenzie nashindia na kulalia maji ya kisima
Hahaha sio bure kuna kitu, kwa nilivyomfuatilia huyo fundi sio njaa kiasi hicho,
Hebu niambie ni aina gani ya mavazi uliyokua umevaa?
 
Back
Top Bottom