Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,413
- 2,145
ninayo na ya mamba nkuleteeEwaaah hapa umenena, nitafurahi kama ukiniletea sharubati ya nyongo ya Simba mwanamwali![]()
ninayo na ya mamba nkuleteeEwaaah hapa umenena, nitafurahi kama ukiniletea sharubati ya nyongo ya Simba mwanamwali![]()
Alivaa vizuri tu ndala za chuma, ovaroli la pinki na kofia ua chuma,......na gloves za nailoniHahaha sio bure kuna kitu, kwa nilivyomfuatilia huyo fundi sio njaa kiasi hicho,
Hebu niambie ni aina gani ya mavazi uliyokua umevaa?![]()
![]()

![]()
![]()
![]()
siamini maneno hayo kama hivyo ndivyo basi Nleterewa Nganengo ndo baba mzazi wa huyo kwenye avatar yako maana naye ni mchina pure

Haa halaf sdhan kama ntamjua tena manake wachina nao kwa mfanano
andika maumivu tu best, huyo mwanao mwenyewe ashamchakaza kwa mbege hata hatamaniki tena, bora tu umwachieHayo macho yako ya kichina yawekee pilipili kichaa


Usihofu nitakuja na vielelezo vyote, huyo mchochezi ukimsikiliza atakusumbuana cheti chako cha kuzaliwa maana nmeambiwa kua umchina na sikukumbuki

Hapo ndipo nilipokuwa napasubiria kwa hamu, huko kwingine kote kulikuwa ni kujizungusha tuEwaaah hapa umenena, nitafurahi kama ukiniletea sharubati ya nyongo ya Simba mwanamwali![]()
ninayo na ya mamba nkuletee
Asante sana kamanda wanguMie nimekuja hpa kuhakikisha usalama salmini
Alivaa vizuri tu ndala za chuma, ovaroli la pinki na kofia ua chuma,......na gloves za nailoni![]()
![]()
![]()
Mweleze mweleze ticha, asitake kuchoche majivu hapa akidhani kuna moto![]()
![]()
![]()

Usinisababishie matatizo mie bado mdogo, nisije nikamwagiwa tindikali bure.....wakaniharibia hii sura yangu niliyorithi kwa babu yangu mzaa babaSasa nitamCc. mtu tunaewasiliana kupitia S.L.P kweli, ngoja ntaanza kukuCc. wewe on behalf
Cc. Bundi Mchochezi

![]()
![]()
mwl.wangu Nganengo njoo unisaidie kukamilisha hii sentesi hapa!

Mi ndo niliva vibaya kwa kweli. Nilivaa dela lenye rangi ya chama![]()
![]()
![]()
Na wewe?



![]()
![]()
![]()
andika maumivu tu best, huyo mwanao mwenyewe ashamchakaza kwa mbege hata hatamaniki tena, bora tu umwachie
Bila shaka nawe unaenda kulinda ndoa yako! Nisalimie wifiWenye ndoa wao wakazi-cement vzr....mie ulinzi wangu unahamia undercover kwa wakat huu.....tchaooo

Komredi usivunje hii ahadi tafadhali jana geti la nnje nimelikuta wazi kabisaMsichafue kijiwe, ngoja niende kuegesha![]()
![]()
![]()
![]()
nitarudi kufunga geti