Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,705
- 4,701
Hata hivyo kulala kwa kamanda mmoja hakumaanishi kambi inaingilika kiboya, tuliobaki tuimarishe ulinziOhooooo inabidi akirudi aandike barua kutoa sababu yakuacha lango wazi
Hata hivyo kulala kwa kamanda mmoja hakumaanishi kambi inaingilika kiboya, tuliobaki tuimarishe ulinziOhooooo inabidi akirudi aandike barua kutoa sababu yakuacha lango wazi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]namtaka mwanangu
Akirud lazima aende lock up kwanza na maelezo mengi kwanini ame doji lindo mpaka muda huuKazidiwa majukumu ya Jana ....alafu aliitwa na ivuga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu hii lugha ya wapi kule kwetu katavi auBuenas noches hermanos y hermanas!
Hahaha umesomeka komredi, hiyo ukinywa unaona mpaka chini ya ardhi[emoji3]Mkuu mwambie asisahau nyongo ya koboko ili kuongeza uwezo wakuona
😀😀😀😀😀🙂🙁yawezekana[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ukiniletea ushahidi usio na shaka mwanao nakupa, ila angalia usije kuta ni baba na mama tunanyang'anyana mtoto humu wakati yumo ndani kalala[emoji12] [emoji40] [emoji85] [emoji125]
Karibu mkuu, hizi salamu tulioko dunia ya 12 huwa tunapataga sana tabu kuziitikiaBuenas noches hermanos y hermanas!
Ngoja niagize moja na bitter lemon hapaK-vant zakusukumia usiku zipo lakini??
Huyo kwenye avatar watakua wanashare damu kweli, naona amekua mpweke nataka nimtafutie mwenzake wa kucheza nae[emoji39] [emoji125]😀😀😀😀😀🙂🙁yawezekana
Lete ile kubwa mkuu na ndim 09 bili kwangu wwe utalipia kongoroNgoja niagize moja na bitter lemon hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulimnywesha mtu mmoja humu akaanza kutuuliza macho yake yako wapi [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23]
Hahaha huyu kwa maelezo ya kikaratasi nilichomwokota nacho ametoka Seul sasa sijajua atakua wa Kaskazi au Kusi[emoji12]hapatanagi na north korea
Hatimaye mwl.wangu ampata pachake [emoji122] [emoji122] [emoji122]Huyo kwenye avatar watakua wanashare damu kweli, naona amekua mpweke nataka nimtafutie mwenzake wa kucheza nae[emoji39] [emoji125]
Kwema mkuu karibu kilingen umechukua gate pass yako pale getinAsee asee za asubuhi
Usingizi mwema[emoji42][emoji42]
Jibu lako lipo hapa post no 928Embu nambie jina lako ni kilugha gan& maana yake nin
Hata mimi naona mtakuwa baba na mama maana si kwa mfanano huo wa wanenu[emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ukiniletea ushahidi usio na shaka mwanao nakupa, ila angalia usije kuta ni baba na mama tunanyang'anyana mtoto humu wakati yumo ndani kalala[emoji12] [emoji40] [emoji85] [emoji125]