JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nisamehe mwl.ujue nimempata yulefundi wa kunizibia kikombe cha uji,ndio kanichelewesha.....tangujana saa 5 asubuhi anaziba tu,mpaka sasa ndo kamaliza [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23]
Kweli huyo fundi wa kuziba matundu sio mchezo, kwani kikombe kilikua kimetobika sanae? [emoji40]
 
Nisamehe mwl.ujue nimempata yulefundi wa kunizibia kikombe cha uji,ndio kanichelewesha.....tangujana saa 5 asubuhi anaziba tu,mpaka sasa ndo kamaliza [emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa, haya ingia darasani fungua daftari upande wa nyuma andika Imla.

Naanza kusoma.....
 
Back
Top Bottom