JamiiForums Usiku wa manane
Story yangu ya USIKU kwa ufupi
Nimeishi miaka zaidi 10 usiku na spend peke yangu....
Nikiwa bed kama sina kazi za usiku basi tachek muvi mpaka talala..

Kwanini nakua peke yangu mda kama huu...?
hi kutokana na life style yangu ambayo inaniweka mbali na ma partner na watoto wazuri...

Je utakaa hvo mpaka lini..?
Kiufupi bado nina safari ndefu sana ya kuishi namna hii maana nishazoea sasa na ikifikia mda nina vitu vyangu muhimu ambavyo nimepanga baada ya hvo tawaza kuwa na mtu usiku...

Usiku kama huu upendi nini ..?
Nikiwa ndani kwanza sipendi bughuza na mtu hii pia ni sababu kwanini nipo peke yangu mda huu...
Ahsanteni sana
 
01:04, 16th April 2025 I was here
Dunia ni duara utazunguka utarudi pale pale
 
Violence loading
20250314_140218.jpg
 
Back
Top Bottom