Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,944
- 20,980
00:18 I was hereHuuzi dawa za maumivu ya moyo
Moyo wa mtu kichaka mi sina dawa ya vichaka
00:18 I was hereHuuzi dawa za maumivu ya moyo
00:1900:18 I was here
Moyo wa mtu kichaka mi sina dawa ya vichaka
00:20 I was typing0019
Sawa, acha niendelee kupambana
Kataa ndoa oyeeeUmeniita siku ya msingi sana. Hii ng'ombe imeondoka tu bila kuaga eti "kesho ukiondoka kwenda kazini niachie funguo" hahaha wallah ataikuta mizigo kwa mama ake.
Mambo vipi mkuu
Jana sikua online ila nimekesha kidogo