Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,944
- 20,980
kunani mkuuSio kwema kaka
kunani mkuuSio kwema kaka
Wanasema usidharau nazi kwani embe tunda la msimu,kwahiyo bado tunachungulia kibarua chetu,ili mambo yakibuma tunajiongeza kibaruaniNdio maana kimeacha kibarua mshajipata
Nimepoteza riziki mkuukunani mkuu
Usisahau kama hapa ni nyumbani 💯Wanasema usidharau nazi kwani embe tunda la msimu,kwahiyo bado tunachungulia kibarua chetu,ili mambo yakibuma tunajiongeza kibaruani
Pole sana expert wanguNimepoteza riziki mkuu
Ni kweli kabisa yanUsisahau kama hapa ni nyumbani 💯
Asante sana mkuuPole sana expert wangu
pole sana man imekuaje manNimepoteza riziki mkuu
Acha tu mkali, nimepoteza hela, sema basi limepita nalo tugange yajayopole sana man imekuaje man
kisicho riziki mkuu hilo huenda halikuwa fungu lako kesho nayo siku mola atajaalia utapata, huenda kikaja mara mbili ya ulichopotezaAcha tu mkali, nimepoteza hela, sema basi limepita nalo tugange yajayo
Upo lindo😂
Umeniita siku ya msingi sana. Hii ng'ombe imeondoka tu bila kuaga eti "kesho ukiondoka kwenda kazini niachie funguo" hahaha wallah ataikuta mizigo kwa mama ake.
Huuzi dawa za maumivu ya moyo00:16
Nilikuwa hapa
Nauza akili jumla na reja reja