JamiiForums Usiku wa manane
Umeniita siku ya msingi sana. Hii ng'ombe imeondoka tu bila kuaga eti "kesho ukiondoka kwenda kazini niachie funguo" hahaha wallah ataikuta mizigo kwa mama ake.
Hahaa 😅😅 calm down mkuu, hawa viumbe tunawa-treat psychologicaly...

Ukifanya hivyo utamharibu tabia aanze kukutibua frequently...
 
Back
Top Bottom