JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Umeniita siku ya msingi sana. Hii ng'ombe imeondoka tu bila kuaga eti "kesho ukiondoka kwenda kazini niachie funguo" hahaha wallah ataikuta mizigo kwa mama ake.
Hahaa 😅😅 calm down mkuu, hawa viumbe tunawa-treat psychologicaly...

Ukifanya hivyo utamharibu tabia aanze kukutibua frequently...
 
Naongea na mama yake aongee nae, au naongea nae mwenyewe kumwelekeza kuwa uncle unachofanya is not good.
Mawazo yako hayakupishana na mimi,mwanzo niliwaza nimpe bakora za maana

Lkn baadae nikaona nimuelimishe,nikafungua google nikamwonyesha picha ya madhara ya sigara,ilionekana ilimwingia akilini

Nikamwambia sasa kazi kwako waeza vuta nisikugundue lkn ujue mwisho wa siku unajitafutia matatizo haya na haya
 
Back
Top Bottom