JamiiForums Usiku wa manane
Naongea na mama yake aongee nae, au naongea nae mwenyewe kumwelekeza kuwa uncle unachofanya is not good.
Mawazo yako hayakupishana na mimi,mwanzo niliwaza nimpe bakora za maana

Lkn baadae nikaona nimuelimishe,nikafungua google nikamwonyesha picha ya madhara ya sigara,ilionekana ilimwingia akilini

Nikamwambia sasa kazi kwako waeza vuta nisikugundue lkn ujue mwisho wa siku unajitafutia matatizo haya na haya
 
Mawazo yako hayakupishana na mimi,mwanzo niliwaza nimpe bakora za maana

Lkn baadae nikaona nimuelimishe,nikafungua google nikamwonyesha picha ya madhara ya sigara,ilionekana ilimwingia akilini

Nikamwambia sasa kazi kwako waeza vuta nisikugundue lkn ujue mwisho wa siku unajitafutia matatizo haya na haya
Unaweza kumchapa lakini ndio ukamjengea chuki ambayo itamfanya kwa hasira avute zaidi sigara hadi bangi.

Lakini ukimweleza madhara yake anaweza kuelewa 💯

Lakini daah miaka 12 kwani ni aina gani ya maisha anayoishi hadi kafanya vile
 
Unaweza kumchapa lakini ndio ukamjengea chuki ambayo itamfanya kwa hasira avute zaidi sigara hadi bangi.

Lakini ukimweleza madhara yake anaweza kuelewa 💯

Lakini daah miaka 12 kwani ni aina gani ya maisha anayoishi hadi kafanya vile
Huyu anko wangu alikuwa anaishi na mama yake kinondoni,na mara nyingi mama yake yupo busy,kwahiyo akawa na mda mwingi wa kudhurura sana mtaani


Kifupi hakuwa na mwangalizi yani kama alikuwa anajilea mwenyewe,kwahiyo hamasa za makundi ndio zimemfikisha hapo alipo
 
Mwenyekiti Rayns kwa ruhusa yako,naomba niwasilishe hoja binafsi

Naomba serikali iimarishe muonekano wa treni ya abiria ya wakazi wa dar,ile treni ni ya mjini lkn muonekano wake hauridhishi kabisa

Kuna haja ya mamlaka husika kulifanyia kazi swala hili walau ikarabatiwe ili iendane na hadhi ya mjini

Naamini kabisa ikikarabatiwa itaongeza mvuto kwa abiria wengi watapenda kutumia usafiri huo

Nawasilisha hoja

Mlizi wa zamu!
 
Back
Top Bottom