Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 5,142
- 9,560
Punguzeni stress mkuu 💯Kuna mda tunakesha ila tunasahau ku sign in and out kwa hii thred
Punguzeni stress mkuu 💯Kuna mda tunakesha ila tunasahau ku sign in and out kwa hii thred
Sawa mkuu.Punguzeni stress mkuu 💯
Tupo mkuuSafi mkuu mmetelekeza uzi...
Mawazo yako hayakupishana na mimi,mwanzo niliwaza nimpe bakora za maanaNaongea na mama yake aongee nae, au naongea nae mwenyewe kumwelekeza kuwa uncle unachofanya is not good.
Kazi ya ulinzi unaiweza,lindo lipo na mtu sahihi01:37 lindo lipo shwarii
Unaweza kumchapa lakini ndio ukamjengea chuki ambayo itamfanya kwa hasira avute zaidi sigara hadi bangi.Mawazo yako hayakupishana na mimi,mwanzo niliwaza nimpe bakora za maana
Lkn baadae nikaona nimuelimishe,nikafungua google nikamwonyesha picha ya madhara ya sigara,ilionekana ilimwingia akilini
Nikamwambia sasa kazi kwako waeza vuta nisikugundue lkn ujue mwisho wa siku unajitafutia matatizo haya na haya
Huyu anko wangu alikuwa anaishi na mama yake kinondoni,na mara nyingi mama yake yupo busy,kwahiyo akawa na mda mwingi wa kudhurura sana mtaaniUnaweza kumchapa lakini ndio ukamjengea chuki ambayo itamfanya kwa hasira avute zaidi sigara hadi bangi.
Lakini ukimweleza madhara yake anaweza kuelewa 💯
Lakini daah miaka 12 kwani ni aina gani ya maisha anayoishi hadi kafanya vile
Leo nalipiaaaLazima ulipie
Mlinzi mviziaji
Leo upo 😎😎Mlinzi mviziaji
Full time. VinLeo upo 😎😎
Mchumba njoo kigamboni tunywe bia 😎Full time. Vin