JamiiForums Usiku wa manane
Aman ya neno la kifo ina tatizo la kuleta "kumbukumbu ya simanzi"bila hivyo mbona ingekuwa ukisikia msiba unapiga balimi 7 hv ili uwe sawa
Ni kweli kabisa memory, na kumbuka siku ya kwanza aliponiona tuu akanitaja “avatar hujambo ....”

Na mara ya mwisho nilimchukulia juice ya muwa akunywe,

Basi ukikumbuka tuu unakua mpole
 
Back
Top Bottom