kirikuu.com
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 462
- 526
Izo tende hata na maziwa una mix, unapata kitu hadimu jamii ya vumbi la kongo
Izo tende hata na maziwa una mix, unapata kitu hadimu jamii ya vumbi la kongo
HahahaNdo uzuri wa kukesha tunakuwa wa kwanza kupata habari za misiba na sherehe
Hapana sijawahi uona nasikia tuu mitaa flani humu ndani unatajwa sana... ndio huo ee!?.unamaanisha hili![]()
Unaweza jishika korodani ukakuta hazipo mtumishi!!!Ni kweli kabisa memory, na kumbuka siku ya kwanza aliponiona tuu akanitaja “avatar hujambo ....”
Na mara ya mwisho nilimchukulia juice ya muwa akunywe,
Basi ukikumbuka tuu unakua mpole
Ni product ya mti kumbe, mi taswira niliokua nayo ni kama vumbi flani hivi jekundu hahah wacha nijicheke tuu.unamaanisha hili![]()
Itakuwa mkuu ndo wenyeweHapana sijawahi uona nasikia tuu mitaa flani humu ndani unatajwa sana... ndio huo ee!?
Unaweza jishika korodani ukakuta hazipo mtumishi!!!
Duuuh ulipitiliza kituo mkuu.hayo ndo madini yenyeweNi product ya mti kumbe, mi taswira niliokua nayo ni kama vumbi flani hivi jekundu hahah wacha nijicheke tuu
Mkuu hiyo picha hujapiga ww kweliDuuuh ulipitiliza kituo mkuu.hayo ndo madini yenyewe
Labda ntakuwa nimepiga mm,ingawa sina hakika sana sheikh wanguMkuu hiyo picha hujapiga ww kweli
Nimekosea ni 2;26AMHivi sasa ni saa 2:36AM
Wacha wee, Kasie mwenye mahaba yote.Nipoo hapaaa hadi jogoo wa kwanza awikee kuudaadeekiii.
Kasie Matata.
Wacha wee, Kasie mwenye mahaba yote.
Ewaaah, leo naona mabox ya zawadi yamekuzidi umeamua uyafungue mpaka kokorikoo.Kasie Mahaba mia mia kwa afya yangu.