Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
We cheka tu mwayaHahaha imebidi nicheke tu.
We cheka tu mwayaHahaha imebidi nicheke tu.
Mimi nitamuona PiliMuone kwanza
KufanyajeUjue nilikatazwa na mama
We umeniangalia kwa wasiwasiMbona huna Rungu
Ndio maana una vitamini zote kumbe waota jua? Na mimi nitaanza kuota jua la saa 7 mchananipate vitamini z
Ukianza siku ndogo uniambieNaona tunamalizia siku kuu....
Sawa JiraniMimi nitamuona Pili
Ndio hasa huku mombasaHivi huwa zinaliwa na gahawa ??
![]()
Nitapuliza dawa saivi... Hebu mtoke nje kwanzaWanakwepa sana,muda wote napiga hewa.ifanye kazi yako mwenyewe
Fundi wa nini?Hapana bwana!
Walimu wangu wote nawapenda sana.
Halafu nimekumbuka....natafuta fundi
Hapana bwana!
Walimu wangu wote nawapenda sana.
Halafu nimekumbuka....natafuta fundi
Kukula kwa wenyeweKufanyaje
Hayo machozi veeepe
Nilikiwa na mandazi madogo madogo magumu matamu sanaUna kashata za kutosha lakini ?
Si bora ukule kwa wenyewe,kuliko uliwe mwenyewe.Kukula kwa wenyewe
Fundi wa kuziba kikombe changu cha kunywea uji kimetobokaFundi wa nini?
![]()
![]()
![]()
Afadhali, ila huyo fundi wa nini tena, mbona unapenda kutia watu presha namna hiyo.
Na kweli, leo watu humu wamevurugwa sio mchezo, nilipanga kutumia emoj na kulike tu lakini nimeshindwaWe cheka tu mwaya

Umenikumbusha mbali mno na hayo maandazi yakoNilikiwa na mandazi madogo madogo magumu matamu sana

Hii ndo mida ya taimingi za wazazi wanaokaa mjini halafu chumba singo.wee weeeee acha tyuUmeonaaa watoto woteee washalala