kirikuu.com
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 462
- 526
Nawakumbusheni ya kwamba hii thread inaitwa "JF Usiku wa manane"amkeni mpashe viporo.hv mliolala ama mnaotaka kulala hamjui kuwa mnamaliza magodoro..!!!
Jamani sio kweli hata kidogo,nimeadimika kwa sababu siku hizi mwl wangu Nleterewa Nganengo ananifundisha mpaka muda wa ziada ili amalizie mada za mwaka huu.Pole rafiki anguu...sikunyingine sutasema ingawa ni kweli...ili nisikuzibie riziki![]()
Au kuna ukweli ndani yake maana umeadimika ile mbaya
Basi naacha masomo yote ili tuanze na hili ili mwl.wangu Nleterewa Nganengo akija asilione tena jina langu(ID)![]()
![]()
![]()

Kuona wanavyo KutongozaKalale umekuja kufanyaje huku
Umechungulia tu. Itakuwa ni kuku amekosea njiaMmmh si bora usingekuja hapa
Mara paaaap kumbe panya.ghafla unarudisha jeshi nyumaNahisi kuna mtu anakula nyama yangu ngoja niwahi

Duuuh hao walimu wako hadi mda wa ziadaa.????..kuna question mark hapo,Jamani sio kweli hata kidogo,nimeadimika kwa sababu siku hizi mwl wangu Nleterewa Nganengo ananifundisha mpaka muda wa ziada ili amalizie mada za mwaka huu.
Halafu mwl wangu Mwifwa naye ananipa home work nyingi mno![]()
![]()
![]()
Utawaweza wote humu ndani ni wangu utawafanyaje?Kuona wanavyo Kutongoza

Kusema kweli wananizeesha mtoto wa mwanaume mwenzaoDuuuh hao walimu wako hadi mda wa ziadaa.????..kuna question mark hapo,
Poa poa mkuu. Ulale unonoUsiku mwema wakuu
Kusema kweli Inna umesababisha nikose zawadi ya krismas kwa kauli yako![]()
![]()
![]()

Jamani sio kweli hata kidogo,nimeadimika kwa sababu siku hizi mwl wangu Nleterewa Nganengo ananifundisha mpaka muda wa ziada ili amalizie mada za mwaka huu.
Halafu mwl wangu Mwifwa naye ananipa home work nyingi mno![]()
![]()
![]()

Yupo chali na fofofoYupo piga hodi
Alafu ulivopotea na wao waliopotea...natafakari tu kwa sauti...Hb wa kigogo umeona huu mchezo???Kusema kweli wananizeesha mtoto wa mwanaume mwenzao
Anatuzibia riziki ,alale tu kama vipiUtawaweza wote humu ndani ni wangu utawafanyaje?![]()
![]()
Shamoo mwl.nimeshakusanya ile home work ya kusoma namba...umeiona?Poa poa mkuu. Ulale unono

Shamoo mwanafunziHakuna kuingia wa ndani ndani wa nje nje![]()
![]()
![]()
We leo ni viemoji tu