Ahaaaaa.Ndio maana nakupendaga mwl.wangu wa hisabati, sio kama yule mwl.wangu wa mwandiko ananifosi fosi kuanza mhula mpya wa masomo leo siku ya boksing dei![]()
![]()
Kusema kweli nutachoka kukaa likizo mwezi Novemba![]()
![]()
uje uchukue box lakoKweli Mwifwa wewe ni wakula vinono peke yako pasi kutualika?
thAD bhana!Pole kwa kuharibikiwa na simu...tulikuham mno mpaka watu wakajiuzulu upopo na ubundi kisa huonekani![]()
![]()
![]()
Kumbe na wewe umeliona hiloKweli Mwifwa wewe ni wakula vinono peke yako pasi kutualika?
Sana....! Nimeamini kweli 'hapa ni stori tu, kula kwenu'Kumbe na wewe umeliona hilo
Kwani ukila ubwabwa si ndio umekula sikukuu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwanafunzi kale sikukuu huko mimi nakula wali na ubwabwa na kachumbari tu
Ni zaid ya stori ni siasa tuSana....! Nimeamini kweli 'hapa ni stori tu, kula kwenu'
Ohooo! Ushaanza mwandiko wako tenathAD bhana!
Mwanafunzi una moyo wa kujifunza wewe.Naomba unifunze kuandika kwa mwandiko huu,naupenda sana!![]()
![]()
![]()
Kumbe na vya siasa vimo hapa....ndio maana. Watu wanajificha siku hizi wanaogopa kufanya upinzani wa kisiasa...Ni zaid ya stori ni siasa tu
Kwani ukinywa soda ndio umekunywa majiKwani ukila ubwabwa si ndio umekula sikukuu?
Ulikuwa hujui hata Inna naye siasa anaiweza wapo kedekedeKumbe na vya siasa vimo hapa....ndio maana. Watu wanajificha siku hizi wanaogopa kufanya upinzani wa kisiasa...
Basi naacha masomo yote ili tuanze na hili ili mwl.wangu Nleterewa Nganengo akija asilione tena jina langu(ID)Mwanafunzi una moyo wa kujifunza wewe.
Ujimaliza hilo soma nitakufundisha kuandika jina lako bila kutumia pen

Basi naacha masomo yote ili tuanze na hili ili mwl.wangu Nleterewa Nganengo akija asilione tena jina langu(ID)![]()
![]()
![]()

Mwl.wewe si ulinikataza kujibu swali kwa kuuliza swali?Kwani ukinywa soda ndio umekunywa maji![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()