Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Kuna watu wako viti virefu sio bure,haiwezekani geti lifunguliwe mapema yote hiiLeo mapema!
Kuna watu wako viti virefu sio bure,haiwezekani geti lifunguliwe mapema yote hiiLeo mapema!
Nzuri mwl.....Habari za likizo mwanfunzi![]()

Gudunaiti pupilKuna watu wako viti virefu sio bure,haiwezekani geti lifunguliwe mapema yote hii
Utaanza pale utakapochoka kukaa likizoNzuri mwl.....
Hiv ulisema mhula mpya wa masomo utaanza lini?![]()
![]()
![]()
Kama kawaida.Mwifwa,Inna. Twendeni KAZI. Lango limefunguliwa.
Wao wakila sikukuu, mimi nakula nyama na ubwabwaWatu wamekula sikukuu kimya kimya, daah sio poa wandugu
Wao wakila sikukuu, mimi nakula nyama na ubwabwa
ushaanza siasa nawewe kamanda
WizoooooUnaenda wap kwan
Saafi kabisa KamandaAtakuja vuta subira, mimi ngoja nivute mkanda nikazie vyuma hapa
Spade mambo??
Ndio maana nakupendaga mwl.wangu wa hisabati, sio kama yule mwl.wangu wa mwandiko ananifosi fosi kuanza mhula mpya wa masomo leo siku ya boksing deiUtaanza pale utakapochoka kukaa likizo

Niko mzima kabisa. Pole kwa kuharibikiwa na android.Spade mambo??
Kweli Mwifwa wewe ni wakula vinono peke yako pasi kutualika?Watu wamekula sikukuu kimya kimya, daah sio poa wandugu
Wao wakila sikukuu, mimi nakula nyama na ubwabwa