Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hapa mwanafunzi ni jino kwa jino, panga kwa panga. Wala sio panga kwa kiwembeMwl.wewe si ulinikataza kujibu swali kwa kuuliza swali?
Ukiwa ngangari lazima niwe ngunguriHapa mwanafunzi ni jino kwa jino, panga kwa panga. Wala sio panga kwa kiwembe![]()
![]()
![]()
![]()

MmmhhhNasikia Neybright na jirani yake Kichwa Kichafu hawasabihiani siku hizi kisa siasa![]()
![]()
![]()
Ooho ila hao kesi yao wanajuana wenyeweNasikia Neybright na jirani yake Kichwa Kichafu hawasabihiani siku hizi kisa siasa![]()
![]()
![]()
Itapingwaje wakati hamna mpinzaniCheko hilo linaonesha kuwa hoja yangu imepita bila kupingwa![]()
![]()
![]()
Mbona waguna ina maana hujui kuwa hata Manga ML na No Escape hawatakiani hali kisa hizi hizi siasa za hapa?Mmmhhh
Mimi nitakuwa ngingiri labda wewe utakuwa ngongoriUkiwa ngangari lazima niwe ngunguri![]()
![]()
![]()
Ewaaa hiyo ndo raha ya kuwa mwanafunzi pekee darasani,lazima mwl akusikilize kwa kila kituItapingwaje wakati hamna mpinzani

Nani huwa anasusa?Mbona waguna ina maana hujui kuwa hata Manga ML na No Escape hawatakiani hali kisa hizi hizi siasa za hapa?
Hawana uarabu wowote wale, mmoja ni mndengereko mwingine ni mhangazaOoho ila hao kesi yao wanajuana wenyewe
Waarabu wapemba

Tatizo mwanafunzi huwa hataki kukusanya kazi aliyopewa afanyeEwaaa hiyo ndo raha ya kuwa mwanafunzi pekee darasani,lazima mwl akusikilize kwa kila kitu![]()
![]()
![]()
Hapana hapo mi nitakuwa ngengeriMimi nitakuwa ngingiri labda wewe utakuwa ngongori![]()
![]()
![]()

Aaaaaggghhrrr.Hapana hapo mi nitakuwa ngengeri![]()
![]()
![]()
Wote wanasusa kisha wanasusiana!Nani huwa anasusa?
Mwl.bwana tusichoshane kumbuka huu ni wakati wa likizo ndefu kabisa,mpaka Nov.si mchezoTatizo mwanafunzi huwa hataki kukusanya kazi aliyopewa afanye
Usiniambie kuwa ulikuwa hujui hilo!
Sawa ila usisahau kusoma zile methaliMwl.bwana tusichoshane kumbuka huu ni wakati wa likizo ndefu kabisa,mpaka Nov.si mchezo