JamiiForums Usiku wa manane
Tuko st Peter tayari toka SAA kumi na moja
Kwakua najua siku za siku kuu kama hivi hata wale ambao hawaendagi kanisani leo wanaenda hivyo nimewahi kiti mapemaaaa kuhofia kusimama kutokama na watu kiwa wengi kanisani leo
 
Kwakua najua siku za siku kuu kama hivi hata wale ambao hawaendagi kanisani leo wanaenda hivyo nimewahi kiti mapemaaaa kuhofia kusimama kutokama na watu kiwa wengi kanisani leo
Hahaha ,nami hivyo hivyo nimewahi kiti mapema
 
Mapopo wenzangu tuliokuwa pamoja usiku wa manane mko poa?
Luq+Mdogo+20171224_225816.jpg
 
Mapopo ambao mmejipumzisha sahizi maana tangu Jana hamjalala karibuni breakfast
 
Naona unataka mwenzako na yeye aanze kushinda kwenye bar nakuvizia ofa, huyo ni pepo na namkemea kwa nguvu zote
Ati nini? Anza kujikemea wewe uliyeenda kuvizia ofa za mbege kishumundu

Msalimie jje's mwambie salamu ni nusu ya kuonana!
 
Back
Top Bottom