JamiiForums Usiku wa manane
CHRISTMAS ni MUUNGANO wa maneno mawili yaani *CHRIST + MAS.*

Hapo zamani, siku ya Tarehe 25 December, ilikua siku ya Kusherehekea MATAMBIKO YA KIPAGANI kabla MWANA WA MUNGU, YESU KRISTO hajazaliwa.

Baadae mwaka 533 AD, Mtakatifu Constantine, aliyekua Mkuu wa Kanisa la WARUMI, ambalo siku hizi linajulikana kama Kanisa la Katoliki (Kanisa la kwanza), aliibadili siku hiyo isiwe tena ya MATAMBIKO YA KIPAGANI badala yake siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa MKOMBOZI MWANA WA MUNGU YESU KRISTO na kuiita *Siku ya kusanyiko la KRISTO* yaani *CHRISTMAS.*

1. *CHRIST* ni neno la kiingereza ambalo tafsiri yake ni KRISTO yaani MASIA au MPAKWA MAFUTA au ALIYETENGWA KWA KAZI MAALUMU.

2. *MAS* ni neno la KIYUNANI ambalo maana yake ni *KUSANYIKO.*

Kwa hiyo maana ya neno CHRISTMAS ni *KUSANYIKO la KRISTO.*

Kwa *WAKRISTO* wanaoamini siku hiyo, wawe makini sana na neno *X-MASS!.*

Inaaminika kuwa, baada ya siku hiyo ya kukumbuka kuzaliwa kwa YESU KRISTO, kupata umaarufu, neno X-MASS, lilikuja baadae sana na lililetwa na wapinga KRISTO ambao waliamua kufuta neno *CHRIST* kwa kuweka alama ya *“X”* yaani hakuna KRISTO.

Hiyo ilibadili maana kwa kusomeka *X-MASS.*

X-HAKUNA na MASS-KUSANYIKO, hivyo X-MASS, maana yake ni HAKUNA KUSANYIKO LA KRISTO! Yaani HAKUNA CHRISTMAS!
Sasa, Kama wewe ni Mkristo hutakiwi kutumia neno X-MAS, badala yake tumia neno CHRISTMAS

MUNGU awabariki muwe na maandalizi mema ya *CHRISTMAS* na sio *“X-MASS!”*
Nimekupataaa mkuu
 
CHRISTMAS ni MUUNGANO wa maneno mawili yaani *CHRIST + MAS.*

Hapo zamani, siku ya Tarehe 25 December, ilikua siku ya Kusherehekea MATAMBIKO YA KIPAGANI kabla MWANA WA MUNGU, YESU KRISTO hajazaliwa.

Baadae mwaka 533 AD, Mtakatifu Constantine, aliyekua Mkuu wa Kanisa la WARUMI, ambalo siku hizi linajulikana kama Kanisa la Katoliki (Kanisa la kwanza), aliibadili siku hiyo isiwe tena ya MATAMBIKO YA KIPAGANI badala yake siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa MKOMBOZI MWANA WA MUNGU YESU KRISTO na kuiita *Siku ya kusanyiko la KRISTO* yaani *CHRISTMAS.*

1. *CHRIST* ni neno la kiingereza ambalo tafsiri yake ni KRISTO yaani MASIA au MPAKWA MAFUTA au ALIYETENGWA KWA KAZI MAALUMU.

2. *MAS* ni neno la KIYUNANI ambalo maana yake ni *KUSANYIKO.*

Kwa hiyo maana ya neno CHRISTMAS ni *KUSANYIKO la KRISTO.*

Kwa *WAKRISTO* wanaoamini siku hiyo, wawe makini sana na neno *X-MASS!.*

Inaaminika kuwa, baada ya siku hiyo ya kukumbuka kuzaliwa kwa YESU KRISTO, kupata umaarufu, neno X-MASS, lilikuja baadae sana na lililetwa na wapinga KRISTO ambao waliamua kufuta neno *CHRIST* kwa kuweka alama ya *“X”* yaani hakuna KRISTO.

Hiyo ilibadili maana kwa kusomeka *X-MASS.*

X-HAKUNA na MASS-KUSANYIKO, hivyo X-MASS, maana yake ni HAKUNA KUSANYIKO LA KRISTO! Yaani HAKUNA CHRISTMAS!
Sasa, Kama wewe ni Mkristo hutakiwi kutumia neno X-MAS, badala yake tumia neno CHRISTMAS

MUNGU awabariki muwe na maandalizi mema ya *CHRISTMAS* na sio *“X-MASS!”*
 
CHRISTMAS ni MUUNGANO wa maneno mawili yaani *CHRIST + MAS.*

Hapo zamani, siku ya Tarehe 25 December, ilikua siku ya Kusherehekea MATAMBIKO YA KIPAGANI kabla MWANA WA MUNGU, YESU KRISTO hajazaliwa.

Baadae mwaka 533 AD, Mtakatifu Constantine, aliyekua Mkuu wa Kanisa la WARUMI, ambalo siku hizi linajulikana kama Kanisa la Katoliki (Kanisa la kwanza), aliibadili siku hiyo isiwe tena ya MATAMBIKO YA KIPAGANI badala yake siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa MKOMBOZI MWANA WA MUNGU YESU KRISTO na kuiita *Siku ya kusanyiko la KRISTO* yaani *CHRISTMAS.*

1. *CHRIST* ni neno la kiingereza ambalo tafsiri yake ni KRISTO yaani MASIA au MPAKWA MAFUTA au ALIYETENGWA KWA KAZI MAALUMU.

2. *MAS* ni neno la KIYUNANI ambalo maana yake ni *KUSANYIKO.*

Kwa hiyo maana ya neno CHRISTMAS ni *KUSANYIKO la KRISTO.*

Kwa *WAKRISTO* wanaoamini siku hiyo, wawe makini sana na neno *X-MASS!.*

Inaaminika kuwa, baada ya siku hiyo ya kukumbuka kuzaliwa kwa YESU KRISTO, kupata umaarufu, neno X-MASS, lilikuja baadae sana na lililetwa na wapinga KRISTO ambao waliamua kufuta neno *CHRIST* kwa kuweka alama ya *“X”* yaani hakuna KRISTO.

Hiyo ilibadili maana kwa kusomeka *X-MASS.*

X-HAKUNA na MASS-KUSANYIKO, hivyo X-MASS, maana yake ni HAKUNA KUSANYIKO LA KRISTO! Yaani HAKUNA CHRISTMAS!
Sasa, Kama wewe ni Mkristo hutakiwi kutumia neno X-MAS, badala yake tumia neno CHRISTMAS

MUNGU awabariki muwe na maandalizi mema ya *CHRISTMAS* na sio *“X-MASS!”*
Sawa , sasa imaana tunadanganywa na viungozi wetu wa dini si ndio ?
 
Hakuna kulala ukitaka kulala taalifu wenzio humu. laasivyo sheria zitafuata mkondo wake
5cf4baddac618c5897eb99457952804d4b87249a_hq.jpg
 
Back
Top Bottom