Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,040
Amka uweke bustaniO4:58
Hii mvua jamani
Amka uweke bustaniO4:58
Hii mvua jamani
Ukiwa na baby lazima uifaidi hii mvuaO4:58
Hii mvua jamani
Baridi aisee😂. SitawezaAmka uweke bustani
Kwa kweli
Usiamke usije ukaumwa maana kuna baridiKwa kweli
Wazo Zuri Maashaallah nimejifunza kituTafuta mtu akupe mwaliko
Halafu kama si mtu wa kuchagua kazi jichanganye kwenye majumba ya kulea wazee cha kushangaza majumba mengi yanamilikiwa na wafaida yake unapata sehemu ya kulala na misosi..unachokipata utajiongeza mwenyewe
🤣🤣🤣🤣 jamaniDepal natamani nikuteke hadi wanisusie wazazi mwisho wa siku wanipe bure mtoto wao.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Pakikucha.. unataka uwe unanunua mpk mchicha? Tembele? HaifaiBaridi aisee😂. Sitaweza
Kweli kabisa. NitajitahidiPakikucha.. unataka uwe unanunua mpk mchicha? Tembele? Haifai
Basi tu me uvumilivu umenishinda kwa kwelijamani
Sa kwann
05:3802:58
Ova
Wewe unataka kuniua sasa, mambo gani haya unasema 🤣🤣🤣🤣
Usife bana wadogo zako wanajifunza mambo ya ndoa kwako eti.Wewe unataka kuniua sasa, mambo gani haya unasema
Namwamini lakini, sina wasiwasi.
Thank you so much, B..., for picking me out of so many. Being selected is exciting, but being chosen by you is much more exciting.And, the reason why you are the one in a million b...