JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu hebu mwanga kidogo pa kuanzia! Nilishawahi kujaribu kipindi fulani mambo yakawa mengi.
Tafuta mtu akupe mwaliko
Halafu kama si mtu wa kuchagua kazi jichanganye kwenye majumba ya kulea wazee cha kushangaza majumba mengi yanamilikiwa na wa 🇰🇪 faida yake unapata sehemu ya kulala na misosi..unachokipata utajiongeza mwenyewe
 
Tafuta mtu akupe mwaliko
Halafu kama si mtu wa kuchagua kazi jichanganye kwenye majumba ya kulea wazee cha kushangaza majumba mengi yanamilikiwa na wa faida yake unapata sehemu ya kulala na misosi..unachokipata utajiongeza mwenyewe
Mkuu naomba siku nikutafute pm!
 
Back
Top Bottom